Showing posts with label Jokate. Show all posts
Showing posts with label Jokate. Show all posts

Jokate Mwegelo Joins with Millen Magese as Ambassador for campaign Against Endometriosis

 
Bongo Movies artist and designer in the country, Jokate Mwegelo 'kidoti' has decided to be at the forefront in the anti-war campaign of deadly disease of Endometriosis.

Spot the ambassador conceded that in the process run by the Institute of Millen Magese (MMF) under an elegance, Millen Happiness  Magese in providing knowledge of the disease, which has been harassing the women.

"Each one should react to this problem, the government should make everything possible in knowing its source. We artists have the responsibility to be ambassadors to provide education about the disease in order to save hundreds of Tanzanians, "said Jokate who is also a musician Bongo Fleva.

Jokate added that the symptoms of the disease are pain during menstruation, where an estimated 176 million people worldwide are afflicted with the disease, including Millen.

Jokate apata Shavu...Tyrese amtumia kupromote filamu yake mpya, lakini…

Tyrese ni miongoni mwa wamarekani weusi wenye ushawishi nchini humo – hasa kwa ubishi wake kwenye mitandao ya kijamii na jinsi anavyopromote kazi zake.
Hivyo kupewa shavu la walau picha yako kuwekwa kwenye ukurasa wake wa Instagram wenye followers zaidi ya milioni 6.3, si kitu cha mzaha.
Picha ya mrembo wa Tanzania, Jokate Mwegelo imepata baraka zake (walau kwa muda tu) na kuwekwa kwenye ukurasa wa muigizaji huyo wa Fast and Furious wakati akipromote filamu yake fupi iitwayo ‘The Black Book.’
kiweka picha ya Jokate, Tyrese aliandika:
“I have movie studio looking at your comments!! #TheBlackBook has been unleashed… Go NOW!! Please? Click the link in my bio and watch the movie write your DETAILED comments below!!!!! #HappyEaster beautiful people around the world.”
Bahati mbaya aliifuta picha hiyo muda mfupi baada ya kuiweka

Photo:Jokate Kidoti Shows off her amazing Body stepped out in T-shirt with no bra!

 
Tanzanian Superstar Jokate Mwogelo(Kidoti) on her Instagram page always likes to post her amazing Pics that you must never miss to see them,In this time she posted a photo wearing a min brauzi with braless while walking Town.
See her photo below of herself shows  off her sexy body.

Skendo:Kisa ujauzito wa Ali Kiba, Jokate aasi kanisani!

Skendo:Kisa ujauzito wa Ali Kiba, Jokate aasi kanisani!

IMG-20151118-WA0010Mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo.
IMEVUJA! STAA wa muziki na mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo amedaiwa kuasi kanisani kisa kikitajwa ni kutokana na ujauzito alionao, unaohusishwa na mkali wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba.
Chanzo makini cha gazeti hili ambacho kiko karibu na mwanadada huyo, kilisema kwa muda sasa amekuwa haonekani kanisani kama awali, na hata kwenye kwaya aliyokuwa akiimba ndani ya kanisa analosali la St. Peter lililopo Oystebay jijini Dar, haonekani.
“Yaani Jokate ujauzito alionao unamsumbua sana, ameacha hata na kuimba kwaya, kanisani haonekani kama ilivyokuwa zamani, pia hali hiyo inachangiwa na kwamba anaona aibu amebeba mimba nje ya ndoa, yaani hajaolewa ndiyo maana mara nyingi haendi kanisani,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya kupata habari hizo waandishi wetu walifunga safari mpaka kanisani kwa ajili ya kuonana na kiongozi wa kwaya aliyejulikana kwa jina moja la Catherine, ambapo walimkosa na kufanikiwa kuzungumza naye kwa njia ya simu baada ya kupewa namba zake.

“Jokate kwa sasa haimbi kwaya, amesitisha lakini sijui sababu ni nini,” alieleza kwa kifupi baada ya kuulizwa juu ya upatikanaji wa mrembo huyo maarufu kama Kidoti.
Ili kuleta mzani wa habari, Jokate ambaye ni mwandani wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba naye alitafutwa na kuelezwa habari hizo, ambapo alikuwa na haya ya kusema;
“Ni kweli siimbi kwaya mwaka sasa, ila kanisani sijaacha kwenda na siwezi kuacha kwenda na bado kazi za kanisa nyingine nafanya, sijaacha kwa sababu ya mimba bali ratiba zangu tu zilikuwa ngumu.”
Udaku:Mimba ya Jokate yazua balaa

Udaku:Mimba ya Jokate yazua balaa

JOKATE44
Jokate na Kiba wakipozi  kimahaba.
Kwani kimenuka? Siku chache baada ya kubumburuka kwa habari ya kunasa mimba ikimhusisha ‘mtoto mzuri’ Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ huku mhusika mkuu akitajwa kuwa ni msanii nguli wa Bongo Fleva, Ali Kiba, ishu hiyo imezua balaa kufuatia familia ya mrembo huyo kushtushwa na hali hiyo, Ijumaa Wikienda limenyetishiwa.
TWENDE OYSTERBAY

Mwishoni kwa wiki iliyopita, ‘kijumbe’ wa gazeti hili alitua getini nyumbani kwa akina Jokate, Oysterbay jijini Dar kwa lengo la kutaka kujua nini kinaendelea juu ya binti yao kunasa mimba nje ya ndoa ilihali familia hiyo inasifika kwa misingi bora na maadili ya kidini.

Gazeti hili lilipotia timu nyumbani hapo, lilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa wanafamilia hiyo aliyekuwa nje akifanya usafi ambaye bila simile ‘alifunua kinywa’ na kuweka hadharani mambo mazito.
GAZETI LA IJUMAA LAIBUA MAMBO

Kama anayeogopa jambo fulani, memba huyo wa familia ya Jokate alisema kuwa, mrembo huyo alikuwa akifanya siri kubwa juu ya ujauzito wake huo, lakini baada ya gazeti pacha la hili, Ijumaa, kuibua habari hiyo, familia hiyo, hususan mama yake mzazi (jina lipo), alizua utata mkubwa kwa binti huyo na kwamba alishtushwa na hali hiyo na kumlazimu kumkalisha ‘kitako’ Jokate ampe ukweli.

“Jokate alikuwa akifanya siri sana, lakini ninyi mlipoandika habari hiyo, hapakutosha, mama yake alimuitisha kikao na baadhi ya ndugu wengine, lakini Jokate hakutaka kuweka wazi juu ya hali hiyo.
sfud7zknmrs4955def775ef165
“Ninavyosikia, kuna uwezekano mkubwa wa Jokate kuhama hapa nyumbani akajitegemee ili kuififisha aibu hii kwani familia inadai amewatia aibu kwa kitendo chake cha kubeba mimba nje ya ndoa,” alidai mhusika huyo.

JOKATE ATOWEKA

Mnyetishaji wetu huyo aliendelea kudai kwamba, baada ya kuona anabanwa, alitoweka nyumbani hapo kwa siku mbili kabla ya kurejea na kuondoka kisha kurejea tena.

Kama kawaida ya gazeti hili kujiridhisha kwa kila habari kabla ya kuichapisha na kuwapelekea wasomaji wake, ‘kiranja mkuu’ wa dawati la Ijumaa Wikienda, mashine kubwa kwa habari za ndani za mastaa wa Kibongo, alimtafuta mrembo huyo kupitia simu ya mkononi na alipobaini kuwa mpigaji ni mwandishi wetu alishindwa kusema chochote zaidi ya kuiacha simu hewani na baadaye kuikata.
ATUMIWA SMS

Hata hivyo, ili kujizolea ushahidi madhubuti, mwanahabari wetu alimtumia ujumbe mfupi wa maandishi (sms) na kumsomea madai hayo, lakini hakujibu ujumbe huo licha ya simu ya mwandishi wetu kuonesha kuwa ujumbe ulikuwa umepokelewa (delivered).

KIBA KIMYAA

Pia, kwa upande wa Ali Kiba, simu yake ilionekana kutokuwa hewani muda mwingi, lakini mwandishi wetu alituma ujumbe wa kutaka kusikia chochote kutoka kwake ili akiiwasha simu akutane na ujumbe huo, lakini hadi gazeti hili linaenda kuchapishwa, hakuwa amejibu ujumbe huo achilia mbali kupiga simu hivyo jitihada zinaendelea.

Hata hivyo, mashabiki wa mastaa hao wameendelea kuwapongeza kwa namna ambavyo wamekuwa wakioneshana mahaba na kwamba suala la kupata mtoto ni jambo la heri bila kujali wamefunga ndoa au la.

GlobalPublisher

Photo of The Day...Jokate Mwegelo!

Miss Tanzania No. 2 in 2006, An Entrepreneur Girl with first Degree obviously she is so beautiful and always she will still be Photogenic lady in Tanzania, She couldn't see herself to give Up in her Daily issues.
She posted her photo (above) on her Instagram page looking so sexy and Beautiful.

Photos:Jokate Mwegelo Shows Off her Street Style!

Bongo Street Styles turning into Hollywood?!! Oooooh dear,I likey!
You can never go wrong with pink..especially when it is mixed with prints like this stripped top. Jojo looks chic in this hot pants suit styled with long KASIKANA Kidoti braids and silver pointy heels
Nailedddd it!



Mahaba Niuwe!Ali Kiba na Jokate hakuna Siri tena...Angalia wakiwa Pamoja Uwanja wa Taifa!

Msanii wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba akiwa na anayesemekana ni Mpenzi wake Jokate Mwegelo a.k.a Kidoti wakiwa wanaingia Uwanja wa Taifa kuutazama Mtanange wa Simba na Yanga hapo jana.Wawili hao siku nyingi walikuwa wakihisiwa ni wapenzi japokuwa Ali Kiba anakanusha habari hiyo ya kuwa na Uhusiano wa kimapenzi na Kidoti.
Ni Sheeedah!Kweli hawa watu jamani hawana Uhusiano?Tazama Ali Kiba akiwa amemshika Jokate sehemu ya Naniii.
...Wakiwa wanapiga Story.

...Kuwa na Wivu ni Sunna jamani...Jokate akiwa anaiangalia kwa umakini simu ya Kiba.
Jokate: Sijaona wa  kumwamini kimapenzi

Jokate: Sijaona wa kumwamini kimapenzi

JOKATE (3)
LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kutokana na kuumizwa na mapenzi mara kwa mara, kwa sasa hajaona mwanaume wa kumuamini hivyo anaelekeza nguvu na akili zake kwenye kazi.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Jokate alisema ni ngumu kwa watu kuamini kuwa amekuwa akiumizwa na mapenzi mara kwa mara, kutokana na muonekano wa urembo alionao, lakini ukweli unabaki kuwa, anaumizwa na mapenzi na kwamba hana imani tena na wanaume.
“Kwa muonekano wangu wa juu, ni ngumu sana kuamini kuwa huwa naumizwa na mapenzi, hakika huwa naumia mno, kila ninayemuamini, anaishia kuniliza, sasa yatosha, simuamini mtu tena, sijamuona wa kumpa imani yangu kimapenzi, acha nielekeze nguvu na akili zangu kwenye kazi,” alisema Jokate.
Katikati ya wiki hii, Ali Kiba alinaswa Morogoro akiwa na mwanamke mwingine katika mazingira ambayo yaliashiria wana uhusiano wa karibu na kufanya watu waibue maswali.

Chanzo:Globalpublishers

Picha:Jokate Mwegelo 'Kidoti' kwenye Muonekano Mpya! She is Very Beautiful...!

 With a caption, "Am looking at the woman in the mirror. Am asking her to change her ways"..Tanzanian beauty and entrepreneur Jokate Mwegelo quotes the song while playing the mirror game
 We couldn't help but admire the back of this dress and I must say,its makes me curious to see the whole look
Don't you?
..Mirror Mirror,who is the most beautiful of them all?
I can see Nairobi is having a true experience of Tanzanian beauty and sense of fashion! Get'em Jojo!