Showing posts with label Michezo. Show all posts
Showing posts with label Michezo. Show all posts

Zlatan Ibrahimovic becomes the highest paid footballer in France

According to les Parisen newspaper, the 34 year old PSG star striker has been handed a 700,000 euros ($760,000) monthly pay-rise making him by far the highest-paid footballer in France.

Ibrahimovic joined the club in 2012 from AC Milan and has scored 127 goals in 156 games since then. He now gets 1.5 million euros ($1.1 million) a month before tax under the performance-based hike agreed late last year.

Crystal Palace sign footballer Emmanuel Adebayor on 6-month deal

Crystal Palace football club of England signed Togolese footballer Emmanuel Adebayor on a free transfer yesterday Jan. 26th. The former Real Madrid, Man City, Arsenal and Tottenham striker had been a free agent ever since he and Tottenham parted ways last year.

Crystal Palace signed him on an initial six month deal with the option of an extra year if the player does well. 

The club will pay him £70,000 per week while Tottenham will be paying him £30,000 till his contract with Tottenham ends this June.

Crystal Palace chairman Steve Parish took to his Instagram page to welcome his new addition and posted a picture of the duo and Pardew.

He said: 'Real pleasure to welcome @e_adebayor to #cpfc.'

Enyeama has left Nigerian National Team Camp after announcing his Retirement from the National Squad

One of Nigeria's best goal keepers Vincent Enyeama, who announced his retirement from the National squad this morning, has left the camp. He is pictured left with Oma Akatugba, a football presenter and analyst who said Mikel Obi, Emenike and a few other players pleaded with Enyeama to stay but he refused. See another photo 
This is the Bentley Enyeama left in.. 


The List of 10 Most Handsome footballers in the world.

The List of 10 Most Handsome footballers in the world.

This List is according to certain Website,that has come with this Report.
As football fans we can agree with this.
Below is the List of those Most Handsome footballers in the world.
Dienstag 16.07.2013, 1. Fussball - Bundesliga, Saison 13/14 - Der BVB im Trainingslager in Bad Ragaz / Schweiz, BV Borussia Dortmund, Mats Julian Hummels (BVB) Foto: DeFodi.de +++ Copyright Vermerk DeFodi.de -- DeFodi Ltd. & Co. KG, Wellinghofer Str. 117, D- 44263 D o r t m u n d, sport@defodi.de, Tel 0231-700 500 44, Fax 0231-700 54 90, C o m m e r z b a n k D o r t m u n d, Kto: 36 11 76 100, BLZ: 440 400 37 // BIC COBADEFF440 // IBAN: DE74 4404 0037 0361 1761 00 // Steuer-Nr.: 315/5803/1864 , USt-IdNr.: DE814907547 - 7% MwSt.
10. Mats Hummels - Borussia DortMond
Gerad Pique
9. Gerrad Pique - FC Barcelona
Cesc Fabregas
8. Cesc Fabrigas - Chelsea
Mario Gotze
7. Mario Gotze - Bayern Munich
Former Atletico Madrid soccer player and new Liverpool FC signing, Fernando Torres, arrives for a press conference at the Vicente Calderon stadium, in Madrid, Wednesday, July 4, 2007. (AP Photo/Daniel Ochoa de Olza)
6. Fernando Torres - Atletico Madrid
2A731F3100000578-0-image-m-6_1436639815470
5. Robin Van Persie - Fenerbahce FC
Casillas1
4. Iker Cassilas - FC Porto
David-Villa
3. David Villa - New York City FC
kaka2
2.Ricardo Kaka - Orlando City FC
Ronaldo15
1.Cristiano Ronaldo - Real Madrid
Neymar aonekana Mpya Baada Ya Kunyoa Nywele Zake!

Neymar aonekana Mpya Baada Ya Kunyoa Nywele Zake!

ney
Kila mtu amezoea kumuona Neymar akiwa na nywere zake ndefu ambazo zimekua kama icon yake. Lakini hivi Neymar amewashtua watu ambao walikua wanamuangalia baada ya kuingia uwanjani akiwa amenyoa nywere zake.
Sasa story kamili ni kwamba Daniel Alves ndie aliyemnyoa Neymar wakiwa changing room. Habari zaidi ni kwamba hadi wadhamini wa Neymar hawajafurahishwa kwenye muonekano wa mchezaji huyo. Inasemekana kuna project mpya ambazo ilibidi ashiriki na wanaona kwamba muonekano huu wa sasa sio mzuri. Baadhi ya wadhamini wa Neymar ni Gillette na Poker Stars.
dfs

Credits: Shaffih Dauda

Photo:Footballer Neymar sits on top of his $200k Ferrari

The Brazilian and Barcelona footballer shared this photo of himself sitting on top his $200k Ferrari 458 Spider and wrote : 'Thank you God for giving me health and the fruit of my work can make another child's dream!'
Michezo:Nyoso afungiwa miaka miwili

Michezo:Nyoso afungiwa miaka miwili

Katibu mkuu wa TFF, Mwesiga Selestine
Katibu mkuu wa TFF, Mwesiga Selestine
Kamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.
Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya Azam FC na Mbeya City uliofanyika kwenye uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam, kutokana na kuwa tabia ya kufanya vitendo hivyo vya utovu wa nidhamu mara kwa mara kwenye michezo ya Ligi Kuu.
Klabu ya Young Africans imepigwa faini ya shiligi laki tano (500,000) kufutia wachezaji wake watano kuonyeshwa kadi za njano katika mchezo dhidi ya Simba SC. Kwa mujibu wa kanunu namba 42 (11) timu ambayo wachezaji wake watapata kadi zaidi ya tano katika mchezo mmoja itapigwa faini ya shilingi laki tano.
Wachezaji waliopata kadi za njano wa Young Africans katika mchezo huo ni ni Salum Telela, Mbuyu Twite, Malimi Busungu, Ali Mustafa na Mbuyu Twite.
Aidha klabu ya Yanga imepigwa faini nyingine ya shilingi laki tano (500,000) kufutia wachezaji wake kwenda kushangilia upande wa Simba SC mara baada ya mchezo kumalizika.
Mchezo utatazamwa tena ili kuangalia malalamiko ya Simba SC dhidi ya mwamuzi.
Simba pia inapigwa faini baada ya wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwashambulia waamuzi baada ya mchezo ambapo waliwarushia chupa za maji ambazo nyingine ziliwakosa waamuzi na kumpata kocha wa Yanga Hans Van Pluijm.
Juma Nyoso akifanya tukio la udhalilishaji dhidi ya John Bocco msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania bara
Juma Nyoso akifanya tukio la udhalilishaji dhidi ya John Bocco msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania bara
Mchezo namba 26 wa VPL kati ya Coastal Union na Mwadui uliofanyika kwenye uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Chumba cha Coastal Union kilikuwa na harufu kali sana. Baadhi ya mashabiki wa Coastal Union waliokuwa nyuma ya goli la upande wa kaskazini walitoa  lugha ya matusi kwa waamuzi na kutishia kuwapiga na pia walimrushia mawe mwamuzi msaidizi wa pili Shafii Mohamed na jiwe moja lilimpiga mgongoni na kumjeruhi kidogo mwamuzi na aliomba msaada wa jeshi la polisi kutuliza ghasia, mchezo ulisimama kwa dakika 3.
Kwa mujibu wa kanuni namba 42 (1) ya udhibiti wa wachezaji Coastal Union itatozwa faini ya Tsh 500,000/=
Mchezo namba 22 wa VPL kati ya Mtibwa Sugar na Ndanda uliofanyika kwenye uwanja wa Manungu, Turiani. Ndanda hawakuleta watu wa kutosha kwenye pre match meeting hivyo wanapigwa faini ya shilingi laki mbili (200,000/=)
Mchezo namba 23 wa VPL kati ya Simba SC na Kagera Sugar uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba walikuwa na wajumbe watatu na Kagera Sugar walikuwa na mtu mmoja tu tena hakuja na vifaa. Timu zote zimepigwa faini ya shilingi laki mbili (200,000).
Mchezo namba 17 wa VPL kati ya Stand united na African Sports kocha wa Stand United alitolewa nje ya eneo la ufundi kwa kutoheshimu taratibu za eneo hilo na pia alikataa kuongea na vyombo vya habari kwa hiyo kwa mujibu wa kanuni namba 40 (11) anafungiwa kukaa kwenye benchi la ufundi kwa mechi mbili na faini ya sh 500,000/= kwa kila kosa jumla 1,000,000/=.Friends Rangers na KMC Mechi Na 8 Kundi A iliyofanyika uwanja wa Karume 27.9.2015. Timu ya KMC ya kinondoni ilifanya mabadiliko kwa kuingiza wachezaji 4 ambao ni kinyume cha kanuni. Kwa mujibu wa taarifa ya mwamuzi wachezaji waliofanyiwa mabadiliko ni
  1. Kamongo Morris badala ya Mrisho Simon
  2. Mfanyeje Musa badala ya Kabange Mgunda na
  3. Sultani Kasiras badala ya Adam Said
  4. Frank Mashoto badala ya Kudra Omari
Kwa mujibu wa kanuni namba 14 (25) KMC imepoteza mechi na kupigwa faini ya Tsh 200,000/=. Mwamuzi wa akiba anafutwa kuchezesha ligi msimu huu na mwamuzi wa kati anapewa onyo

Taifa Stars watoka Sare ya Bila Kufungana na Nigeria Uwanja wa Taifa Leo

Beki wa Nigeria, William Ekong akibinuka tik tak dhidi ya mshambuliaji wa Tanzania, John Bocco katika mchezo wa leo
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta akimhadaa beki wa Nigeria, Solomon Kwambe  
Mshambuliaji wa Tanzania, Mrisho Ngassa akimtoka winga wa Nigeria, Simon Moses  
Kikosi cha Taifa Stars kilichotoa sare na Nigeria leo
Mshambuliaji wa Tanzania, Emmanuel Ulimwengu akipambana na beki wa Nigeria, Kenneth Emeruo
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
TANZANIA imejiweka njia panda katika mbio za Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017, baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na Nigeria, jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Taifa Stars sasa inakamilisha mechi mbili  za Kundi G bila ushindi, baada ya awali kufungwa mabao 3-0 na Misri mjini Alexandria Juni mwaka huu, wakati Nigeria inafikisha pointi nne baada ya awali kushinda 2-0 dhidi ya Chad.
Kocha Charles Boniface Mkwasa aliwaanzisha wote washambuliaji wa TP Mazembe ya DRC, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu, lakini hii leo waliishia kuisumbua tu ngome ya Eagles.
Mshambuliaji wa Free State Stars ya Afrika Kusini, Mrisho Khalfan Ngassa alifanikiwa kuwapenya mabeki wa Nigeria na kubaki na kipa Ikeme Onora lakini mara zote dakika ya 13, 22 na 58 akakosa mabao ya wazi, kabla ya kutolewa dakika ya 67 kumpisha John Raphael Bocco. 
Mbwana Samatta naye dakika ya 15 aliwapangua mabeki wa Nigeria, lakini shuti lake likaenda nje.
Super Eagles walipata nafasi moja tu nzuri dakika ya 24 baada ya shuti la mpira wa adhabu wa Nahodha Ahmed Musa kupanguliwa na kipa Ally Mustafa ‘Barthez’.
Baada ya mchezo huo, kocha wa Tanzania, Mkwasa aliwasifu vijana wake kwa kucheza vizuri, lakini akasema bahati haikuwa yao kwani walitengeneza nafasi wakashindwa kutumia.
Kwa upande wake, Sunday Oliseh wa Nigeria alisema kipindi cha kwanza walicheza kwa kuwahofia wenyeji, na hata kipindi cha pili walipotaka kubadilika kucheza, lakini mechi ikawa ngumu. 
Kikosi cha Tanzania kilikuwa; Ally Mustafa ‘Barthez’, Shomary Kapombe, Mwinyi Hajji, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan, Himid Mao, Thomas Ulimwengu, Mudathir Yahya/Said Ndemla dk61, Mbwana Samatta, Mrisho Ngassa/John Bocco dk67 na Farid Mussa/Simon Msuva dk81.
Nigeria; Ikeme Onora, Solomon Kwambe, Kingsley Madu, Kenneth Omeruo, William Ekong, Nwankwo Obiora, Ahmed Musa, Haruna Lukman/Igboun Emeneka dk35, Emmanuel Emenike/Ujah Anthony dk61, Uzochukwu Izunna na Moses Simon/Eduok Samuel dk69. 

Chanzo :binzubeiry.co.tz

Picha:David Beckham achora Tattoo kwa Heshima ya Watoto zake

The former footballer got a tattoo over the weekend in honour of his first son Brooklyn Beckham. David shared the photo on the left on instagram and wrote "I've always called Brooklyn (Buster) since the day he was born. Love you Bust @BrooklynBeckham.". Right is the tattoo he got for his daughter Harper a few weeks ago. "Pretty Lady, Harper". He also has tattoos for his other children Romeo and Cruz on other parts of his body...