Picha za Rais Jakaya Kikwete alivyosherehekea Birthday na Wajukuu zake


Happy Belated Birthday Mr. PresidentDk. J.M Kikwete !!
Kama ilikupita basi naomba nikufikishie taarifa kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Kikwete jana October 07 2015 ndio alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo alikuwa akitimiza umri wa miaka 65.
hb5
Nimepita kwenye Blog ya Issa Michuzi na kuzipata pichaz za party ya Rais JK, pembeni wako pia Mama Salma Kikwete, watoto wao pamoja na Wajukuu ambao walienjoy kwa pamoja siku hiyo kubwa kwa Babu yao.
Hizi hapa pichaz nyingine.
hb2
hb3 hb4  hb6 hb7 hb8 hb9 hb10 hb11 hb12 hb13 hb14 hb15 hb16 hb17 hb18


x

;

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »