Showing posts with label Burudani. Show all posts
Showing posts with label Burudani. Show all posts

Gerald Hando, Paul James waondoka Clouds FM

Gerald Hando na Paul James, wanadaiwa kuachana na Clouds FM, kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi.
Wawili hao wamekuwa watangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha kituo hicho kwa miaka mingi.
Gazeti la Mwananchi limedai kuwa watangazaji hao wamemaliza mkataba na kituo hicho na hakijapenda kuwaongezea

Juma Nature adai mshindani wake kwenye muziki kwa sasa ni Diamond

 Msanii mkongwe wa muziki, Juma Nature amedai msanii pekee ambaye anaweza akashindana naye kwa sasa ni Diamond.
Akizungumza na tovuti ya Times Fm, Juma Nature ameomba wadau kuandaa tamasha ili washindanishwe.
“Watu wanamtukuza sawa lakini watuweke stage moja tuone nani atakamua, unajua tuseme ukweli bongo flava sasa mimi na Diamond ndio wapinzani pekee,” alisema Juma Nature.
Aliongeza, “Watu waandae pambano, na mpunga pia uwepo nioneshe na mimi nguvu yangu ilivyo mtaani,”
Nature amesema anaamini muziki wake aliyokuwa anafanya zamani una nguvu kubwa kuliko huu wa wasanii wa sasa.

Lady Jaydee atangaza mchongo huu kwa mashabiki wake

Lady Jaydee anataka kula dinner na mashabiki wake. Unachotakiwa kufanya ni kujirekodi na kupost video kwenye Instagram au Facebook ukiimba wimbo wake mpya, Ndindindi.
Lady Jaydee ameandika:
Katika watu wote waliotuma videos Wanaimba NdiNdiNdi Nawashukuru sana Wanaopenda kuendelea wanakaribishwa Ila nitakuwa nazi like huko huko Kwenye page zenu Kifuatacho sasa Nitachagua Clips 3 bora zilizokonga na kusuuza watu wengi Na watatu hao, nitafanya mchakato wa kula nao japo dinner Na ku hang nao siku yoyote nikiwa na event kubwa Majina nitataja baadae kidogo 1. 2. na 3.

Video MPYA: Kwenye video mpya za bongofleva ni hii mpya ya Amini ‘hawajui’

Kwa harakaharaka ni zaidi ya miezi kumi na mbili imepita toka mara ya mwisho nimetazama video mpya ambayo Amini yuko ndani, ni mwimbaji mwenye miaka yake kadhaa kwenye game ya bongofleva na sasa katuletea hii mpya, ukishamaliza kuitazama usisahau kumuandikia ajue watu wake wameipokeaje.

Picha za WEMA SEPETU akiwa katika Instagram Party Jijini Mwanza

 
Usiku wa tarehe 27, ulipambwa na Show ya Instagram Party kwa upande wa Mwanza 88.1, mastaa kadhaa wa Tanzania walikuwepo kunogesha Party kutoka Bongo movie Wema Sepetu, alikuwepo na kundi la Weusi liliwakilishwa na Joh Makini pamoja G nako.Party imefanyika Rock City Shopping mall Mwanza.
 
 
 

Jokate apata Shavu...Tyrese amtumia kupromote filamu yake mpya, lakini…

Tyrese ni miongoni mwa wamarekani weusi wenye ushawishi nchini humo – hasa kwa ubishi wake kwenye mitandao ya kijamii na jinsi anavyopromote kazi zake.
Hivyo kupewa shavu la walau picha yako kuwekwa kwenye ukurasa wake wa Instagram wenye followers zaidi ya milioni 6.3, si kitu cha mzaha.
Picha ya mrembo wa Tanzania, Jokate Mwegelo imepata baraka zake (walau kwa muda tu) na kuwekwa kwenye ukurasa wa muigizaji huyo wa Fast and Furious wakati akipromote filamu yake fupi iitwayo ‘The Black Book.’
kiweka picha ya Jokate, Tyrese aliandika:
“I have movie studio looking at your comments!! #TheBlackBook has been unleashed… Go NOW!! Please? Click the link in my bio and watch the movie write your DETAILED comments below!!!!! #HappyEaster beautiful people around the world.”
Bahati mbaya aliifuta picha hiyo muda mfupi baada ya kuiweka

Jerry Muro aonyesha Nyumba yake akiwa na Mke wake anayemsifia

 
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Jerry Muro alipost picha hii huku akionyesha nyumba yake ambayo aliyokuwa akimsifia na pia alimwonyesha na mke wake mzuri ambaye aliyekuwa akimsifikia. 
Jerry Muro aliandika hivi: "Tunawapenda sana watu wetu wa nguvu@yangasc"
After He Praised Her Beauty, Victoria Kimani Does Something that Will Make Nigerian Crooner Runtown Very Happy

After He Praised Her Beauty, Victoria Kimani Does Something that Will Make Nigerian Crooner Runtown Very Happy

In 2014, Runtown praised Victoria Kimani’s beauty in the song ‘Gallardo’ featuring Davido, Victoria Kimani has done something that will make Runtown very happy.
Free publicity through a cover song.Victoria Kimani who is currently on the road with her recently released  single  'All The Way'  featuring South African Rapper, Khuli Chana is here with a freestyle cover version of Runtown's power-hit single, 'Walahi' with a surprise feature from M.I Abaga.
vun.jpg
Did You Know?This Is How Much Vera Sidika Paid For Her Boob Job.

Did You Know?This Is How Much Vera Sidika Paid For Her Boob Job.

If you are thinking of giving your golden globes a medical nudge, then it would be important at this point to convene a small committee that will help you raise over 3 million shillings for a set of perky, juicy, wondrous ta'ta's. 
Vera Sidika revealed last night that it took her USD 21,000 to get her boobs to the magnificent wonders of the world that they are today. That is millions on getting your boobs to stay upright, not droop as if they were drunk.It was  a procedure that saw a  team of dedicated teat- doctors insert silicon to her boobs giving them that perfect round shape that most women pay through the nose to have. 
The men don't care. It is just boobs anyway, boil them or serve them in Tartary sauce, men just want boobs! 
Anyway, the socialite had the procedure done in the states, Beverly hills to be precise. That is in case you had the same thoughts. 
You can how glorious they look below: 
vera-sidika2.jpg 
uneclgtedmjavar9h565e935da96a7.jpg

Jose Mourinho denies writing 6-page 'love letter' to Man U telling the club to employ him

Two-time champions league winner and former Chelsea manager Jose Mourinho has categorically denied writing a 'love letter' to Manchester United indicating his interest in the managerial position currently occupied by his 'friend and mentor', Louis Van Gaal.


Jose Mourinho, who has been out of work since being sacked as Chelsea manager in December, has been heavily linked with the managerial position at Man U as the fans and board are unhappy with results and the playing style under Louis Van Gaal this season.


But things took a twist on Saturday after the Independent published a report claiming Jose Mourinho had written a 6-page letter indicating his desire to manage Manchester United and also curtail his excesses and his managerial style to suit the tradition and culture of Manchester United.


They also claimed in the report that Mourinho in the letter also identified areas of weakness in the current squad and promised a complete overhaul in the playing structure of the squad. But his agent Jorge Mendes has denied any letter was written by Jose Mourinho to Man Utd.

Jorge Mendes released a brief statement yesterday on his agency's website, described the assumption Mourinho was “offering [his] services” as “absolutely ridiculous.” The statement said: “It does not occur to anyone that a coach like Jose Mourinho can write letters to clubs offering their services. “It is absolutely ridiculous and totally absurd.”