Showing posts with label Habari. Show all posts
Showing posts with label Habari. Show all posts

Why The Eritrean Dept. Of Religious Affairs Is Alleged To Have Ordered All Men To Marry More Than One Wife.

In what could pass as an ‘April Fool’s Day’ prank, activists posted a memo on Facebook allegedly from the Eritrean government asking men to marry at least two wives due to an acute shortage of men occasioned by causalities during the civil war with Ethiopia.A copy of a scanned decision of the Grand Mufti surfaced on the social media site on Thursday last week and showed the State of Eritrea calling for all men in the country to marry at least two wives and the government assuring that it will pay for the marriage ceremonies and houses.

The activists translate it thus, “Based on the law of God in polygamy, and given the circumstances in which the country is experiencing in terms of men shortage, the Eritrean department of Religious Affairs has decided on the following.”

First that every man shall marry at least two women and the man who refuses to do so shall be subjected to life imprisonment with hard labour.

“The woman who tries to prevent her husband from marrying another wife shall be punished to life imprisonment,” allege the activists in their translation.

The Standard could not immediately authenticate the document nor the translation and it was not clear why the statement was not in the other two national languages, Tigrinya and Tigre.

The May 1998 to June 2000 Eritrean-Ethiopian war saw 150,000 soldiers killed from either sides but having a bigger impact on male population in the tiny Eritrea nation who were then just 4million people in total.

The memo is yet to be confirmed as authentic communication from the Eritrean government with certain faults such as failure of translation in official national languages, Tigrinya and Tigre.

Instances of polygamy in many African countries have dropped significantly mainly due to increased urbanization, spread of Christianity and higher literacy levels. There are however still higher cases of multiple wives in Muslim communities across the continent.

See the £25million yacht Roman Abramovich reportedly gave Russia president Vladimir Putin


Russian businessman, investor, politician and owner of Chelsea football club, Roman Abramovich gave a £25 million yacht to Russian president Vladmir Putin, new reports claim. Dmitry Skarga, a former head of Russia’s state shipping company, Sovcomflot, said the boat was a gift from Abramovich, who transferred it to the president via an intermediary associate.

The pair have long been friends but Putin's critics feel he has unknown energy business deals with the Chelsea owner.

“It's a fact that Mr Abramovich, through his employee transferred a yacht to Mr Putin,” Mr Skarga told Panorama. Mr Skarga also alleged that the yacht is run and maintained with state funds, even though it is Mr Putin’s personal property.

The allegations come as a top American official openly accused Mr Putin of corruption and direct embezzlement of state funds. There has been a lot of speculation about Putin's actual wealth value with Bill Browder, a hedge fund manager and vocal critic of Mr Putin, claiming that the Russian president is worth $200 billion, a sum that would make him by far the richest man in the world. But Putin’s spokesman has called the allegations “complete trash.” Mr Abramovich’s lawyers called the claims about the yacht “unsubstantiated” and little more than a “rehash of speculation and rumours”.


History of New Prime Minister of United Republic of Tanzania.

      Majaliwa Kassim Majaliwa is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ruangwa constituency since 2010. During last five years was the Deputy Minister of State in the Prime Minister's Office for Regional Administration and Local Government. He has been elected by President Dr. John Pombe Magufuli as Prime Minister of United Republic of Tanzania.
      BornDecember 22, 1960 (age 54), Tanganyika

Photos: Ahmed Mohammed, the 'Clock Boy' meets President Obama

Ahmed Mohamed, who came to be known as the “Clock Boy" after he was arrested at his high school in September when a teacher mistook his homemade clock for a bomb, met President Obama on Monday night October 19th during the White House's "Astronomy Night" celebration. Obama had extended an invitation to the 14-year-old in September. See more photos


Ahmed posed for pictures with NASA astronaut Alvin Drew shortly before Obama addressed some American science students who were at the white house for Astronomy Night, a night honoring science, space exploration and youthful endeavors.

 
 
  

Lowassa aliteka Jiji la Arusha...Haijawahi tokea Jijini Arusha

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Mh. Godbress Lema, wakiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sinoni, Unga LTD, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni, leo Oktoba 8, 2015.
 


 
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubiwa wananchi, wakati wa Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sinoni, Unga LTD, Jijini Arusha leo Oktoba 8, 2015.
 
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akimnadi kwa wananchi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Mh. Godbress Lema, wakati wa Mkutano wa Kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sinoni, Unga LTD, Jijini Arusha leo Oktoba 8, 2015.
Waziri Mkuu wa Zamani, Mh. Fredrick Sumaye akiwahutubia wananchi wa Mji wa Arusha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sinoni, Unga LTD, Jijini Arusha leo Oktoba 8, 2015.
Mwanasiasa Mkongwe Nchini, Mzee Kingunge Ngomale Mwiru, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Arusha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sinoni, Unga LTD, Jijini Arusha leo Oktoba 8, 2015.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Arusha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sinoni, Unga LTD, Jijini Arusha leo Oktoba 8, 2015.
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Mh. James Mbatia, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Arusha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sinoni, Unga LTD, Jijini Arusha leo Oktoba 8, 2015.
 




 
















The “Queen of Ivory” arrested in Tanzania

The “Queen of Ivory” arrested in Tanzania

“The Queen of Ivory”, a Chinese national, arrested by a specialized Task Force in Tanzania. To date, she is the most important ivory trafficker ever arrested in the country.
IVORY_QUEEN1 resizedPicture: Mrs. Yang Feng Glan (Credit: Elephant Action League) 
 
A specialized wildlife trafficking unit under Tanzania’s National and Transnational Serious Crimes Investigation Unit (NTSCIU) arrested a number of high-level Chinese ivory traffickers led by a woman who is now thought to be the most notorious ivory trafficker brought to task so far in the war against elephant poaching. She is believed to be behind the trafficking of a huge quantity of ivory over the last several years.

The woman, now dubbed the “Queen of Ivory”, is a Chinese national named Yang Feng Glan, 66, and has been followed by the Task Force for over a year. She recently disappeared from Tanzania, moving to Uganda, but returned one week ago, when the Task Force swiftly moved and arrested her. After confessing to many of her crimes she has been taken to the high court of Dar es Salaam facing a maximum sentence of 20-30 years imprisonment.

Mrs. Yang Feng Glan is originally from Beijing and is a wealthy woman, owning several properties and many cars. According to the first information collected by the Task Force, she first came to Tanzania in the 1980’s working as an interpreter and she has been trafficking ivory since at least 2006, working with the most high-ranking poachers in the country and in the region. She is connected to various companies abroad, all Chinese-owned, and circulates in the upper echelons of Chinese citizens living and working in Tanzania.

Tanzania has been the ground zero of elephant poaching in East Africa for the past several years, having lost 85,000 elephants between 2009 and 2014, according to a recent elephant census in the country. A slaughter of industrial proportion such as this cannot have happened without the involvement of high profile, corrupt individuals and government officials at the two ports of Dar-es-Salaam and Zanzibar, and elsewhere in civil society.

“It’s the news that we all have been waiting for, for years”, commented Mr. Andrea Crosta, co-founder of the Elephant Action League and WildLeaks. “Finally, a high profile Chinese trafficker is in jail. Hopefully she can lead us to other major traffickers and corrupt government officials. We must put an end to the time of the untouchables if we want to save the elephant”.

“Everyone she has been dealing with will now become a target for law enforcement,” concludes Crosta.

Source: elephantleague

Kitaifa:Lowassa avunja mkutano Tanga

Baadhi ya wananchi wakiwa wamepoteza fahamu kutokana na msongamano kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa uliofanyika kwenye Uwanja wa Tangamano mkoani Tanga jana. 


Tanga. Mgombea wa urais wa Chadema, Edward Lowassa jana alilazimika kukatisha mkutano wake wa kampeni kabla ya muda, kwa kuhofia usalama wa wananchi waliofurika kuzidi uwezo wa Uwanja wa Tangamano mjini hapa.

Lowassa aliwasili jijini Tanga saa 10.20 jioni kwa helkopta ambayo wakati ikiwa angani ikitafuta nafasi ya kutua uwanjani hapo, Tambwe Hizza aliwaeleza wananchi kwamba kutokana na watu kuwa wengi kwenye uwanja huo, hakukuwa na mahala pa kutua, hivyo inaenda kutua uwanja wa ndege.

Msafara wa Lowassa aliyekuwa katika gari aina ya Landcruiser ya rangi nyeusi ulitokea uwanja wa ndege kwa kuongozwa na magari ya polisi, lakini hata hivyo hakuweza kufika mapema Tangamano kwa sababu watu walikusanyika kwa wingi kwenye barabara alizopita kumshangilia.

Alipofika Tangamano watu waliokuwapo uwanjani hapo kwa maelfu walianza kuminyana wakigombea kumuona huku wakimshangilia, “rais, rais, rais”.

Mara baada ya kuwasili katika jukwaa alilokuwa amepangiwa kukaa, watu walipiga kelele wakitaka apande jukwaani ili wamuone, kitendo kilichomlazimisha meneja wa kampeni wa mgombea huyo, John Mrema kumuomba awasalimie kabla ya kuketi.

Kitendo cha Lowassa kusimama na kupanda jukwaani, kilisababisha uwanja kuripuka kwa mayowe kumshangilia huku wakiimba rais, rais, rais hata alipokwenda kukaa wananchi waliendelea kuimba.

Wakati Lowassa akisalimia, msongamano wa watu uliongezeka na hivyo kusababisha wanawake kuanguka kwa kukosa pumzi jambo, lililomlazimu Mrema kuwaita wahudumu wa msalaba mwekundu kutoa msaada.

Zaidi ya watu 50 walianguka na kubebwa na polisi pamoja na wahudumu wa Msalaba Mwekundu na kupelekwa sehemu maalumu iliyotengwa kwa ajili ya kuwahudumia.

Ofisa wa shirika la Msalaba Mwekundu alikaririwa akisema idadi ya watu waliozimia katika mkutano huo ilikuwa kubwa ambayo haijawahi kutoka katika mkutano mwingine mkoani humo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Zuberi Mwambeji alisema baadaye kuwa amepata faraja kwa kuwa watu wote waliokuwa wamezimia walizinduka na kurudi nyumbani salama na hakukuwa na majeruhi.

Hata hivyo baada ya mkutano huo, polisi walilazimika kupiga mabomu mawili ya machozi kuwatawanya wananchi waliokuwa wanarudi nyumbani kwa maandamano katika barabara ya Ngamiani. Akizungumzia tukio hilo RPC Mwambeji alisema walikuwa wanazuia barabara na kusababisha msongamano.

Sumaye aamua kumaliza mkutano

Wakati hali hiyo ikiendelea, Meneja wa kampeni alimkaribisha Waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na alipopewa kipaza sauti alitumia dakika saba kuwatuliza wananchi waliokuwa wakisukumana kugombea kumuona Lowassa.

Sumaye aliwashukuru wakazi wa Tanga kwa kujitokeza kwa wingi na kubainisha kwamba CCM haina pa kutokea.

“CCM inatangaza kwamba Tanga ni ngome yake, hii inaashiria kwamba safari hii wana-Tanga wanahitaji mabadiliko kwa sababu umati huu mkubwa ambao sijawahi kuuona, umekuja kumshuhudia rais wa awamu ya tano,” alisema Sumaye.

Hata hivyo, Sumaye hakumaliza hotuba yake baada ya kuona watu wanaoanguka kwa kukosa hewa ikiongezeka, ndipo akasema anamkaribisha Lowassa awasalimie kisha mkutano ufungwe, watu watawanyike kwa sababu ya usalama wao.

Ahadi ya Lowassa

Aliposimama kuzungumza, Lowassa alisema alitumia muda mfupi kutoa ahadi zake kwa Wanatanga, na kubainisha kuwa kutokana na hali halisi ni wazi kwamba akizungumza zaidi watu wanaweza kufa na yeye asingependa hali hiyo itokee.

“Ninaomba nimalizie kwa kuwashukuru kwa kujitokeza kwa wingi, mkutano huu unanikumbusha nilipokuwa Tanga kuomba sahihi kwenye kura za maoni za CCM..hii ni ishara kwamba mabadiliko ni lazima,” alisema.

Kabla ya kumaliza mkutano huo, Lowassa alisema akichaguliwa kuwa rais atahakikisha katika kipindi cha miezi sita bandari mpya ya Ndumi, itaanza kujengwa kwa sababu wenye uwezo wa kuijenga wapo, lakini Serikali ya CCM inawabania kwa sababu haitaki wananchi wa Tanga wainuke kiuchumi.

Mgombea huyo alisisitiza kuwa sambamba na bandari, akiingia madarakani atasimamia ujenzi wa reli ya Tanga-Arusha-Musoma hadi Kampala, Uganda kwa haraka zaidi kwa kuwa itaharakisha maendeleo.

Mgeja na ahadi za Kikwete

Kabla ya Lowassa kuwasili, aliyekuwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja alisema mikoa ya Tanga na Shinyanga ni waathirika wakubwa wa ahadi alizotoa Rais Jakaya Kikwete wakati akiomba urais, lakini hakuzitekeleza.

Alisema aliahidi kufufua viwanda, kujenga bandari mpya ya Ndumi na kuboresha hali ya wakulima na wavuvi, lakini hadi anamaliza muda wake hakuna hata alichotekeleza.

“Mkiona vigogo wakubwa tumeondoka CCM mjue tumekuja Ukawa kufuata mabadiliko, tumebaini ndani hakuna kitu, kule kumejaa fitina na mizengwe ya kurudisha nyuma maendeleo ya wananchi, mpeni kura Lowassa na Mussa Mbarouk kwa maendeleo ya Tanga.

Kwa upande wake, Hizza alisema wagombea wa CCM wanaokwenda Tanga kuwaeleza kwamba watafufua viwanda, hawasemi ukweli kwa sababu ndiyo walioviua kwa lengo la kudhoofisha maendeleo ya wana-Tanga.

“Hapa Tanga ni kwetu, hii Tanga haikuwa hivi, wakoloni walijenga reli, bandari, miundombinu mizuri ya mawasiliano pamoja na viwanda ambavyo vilitoa ajira nyingi, lakini CCM imeviua halafu wanaahidi kuvifufua huku ni kuchezeana shere,” alisema Tambwe.

Lowassa awashangaa JK, Pinda

Akiwa Bumbuli, Lowassa ameshangazwa na Rais Jakaya Kikwete na Serikali, kushindwa kutatua mgogoro wa kiwanda cha Mponde ambao umedumu kwa muda mrefu sasa.

Lowassa alitoa kauli hiyo jana wakati akiwahutubia wananchi wa Soni ambao walimweleza kuwa bado wana tatizo la mgogoro wa kiwanda hicho.

“Nashangaa Rais Kikwete, waziri mkuu, mkuu wa mkoa kushindwa kutatua tatizo la kiwanda cha Mponde, hiki kitu gani! Serikali gani hii isiyokuwa na maamuzi,” alisema Lowassa na kuongeza:

“Nisikilize kwa makini, nimechoka, nimechoka kusikia habari za Mponde kila siku halafu hamna suluhisho, kuna nini? Uongozi gani huu unaoshindwa kutatua matatizo madogo kama haya kwa wananchi.

“Ninawahakikishia ndani ya miezi sita nitakuwa nimemaliza suala la Mponde, uongozi wa nchi unahitaji uthubutu, fanya maamuzi hata ukikosea potelea mbali,” alisema.

Septemba 2014, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliagiza wakala wa wakulima wadogo wa chai pamoja na Bodi ya Chai nchini, kuunda timu ya watu wawili au watatu itakayosimamia mwenendo wa kiwanda hicho cha kusindika chai.

Baada ya waziri mkuu kutoa agizo hilo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa katika ziara za chama jimbo la Bumbuli, Septemba mwaka jana aliwaambia wananchi hao kuwa Rais Kikwete amekirejesha kiwanda hicho kwa wananchi baada ya kuwapo kwa mgogoro uliodumu kwa miaka kumi.

Hata hivyo, jana wananchi wa Bumbuli walionyesha kuwapo kwa mgogoro unaoendelea kuhusu kiwanda hicho, jambo ambalo lilimshangaza Lowassa na kuahidi akiingia madarakani Serikali yake itatatua mgogoro wa kiwanda hicho ndani ya miezi sita.

Pia Lowassa aliwaahidi wananchi hao kuwaondolea umaskini ambao umekithiri kwa kuhakikisha elimu inakuwa bure kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili wananchi wajiendeleze.

Bango la Magufuli lazua kizaazaa

Katika mkutano huo uliofanyika uwanja wa Shule ya Msingi Kisiwani polisi waliwadhibiti vijana watatu waliokuwa wakipita pembeni ya uwanja wakiwa wamebeba bango lililoandikwa ‘Hapa Kazi Tu’.


Pia polisi iliwadhibiti wanawake wawili ambao walikuwa wakipiga kelele katikati ya uwanja huku mmoja akionekana kama amelewa, ambao waliingizwa kwenye gari la polisi na kupelekwa kituoni.

Wananchi walilizingira gari la polisi wakitaka waachiwe watu hao wawashughulikie, lakini askari walifanikiwa kuondoka nao.

Awali, mgombea ubunge wa jimbo la Bumbuli kwa tiketi ya Chadema, David Chinyegheya alidai kulikuwa na vijana wameandaliwa kuvuruga mkutano huo, hivyo aliomba polisi kuwadhibiti.

Imeandikwa na Boniface Meena, Burhan Yakub na Maimuna Msangi.

MWANANCHI