UDAKU:Zarinah, mama Diamond ni vita!

UDAKU:Zarinah, mama Diamond ni vita!

DSC_5716
Zarinah Hassan ‘Zari’
NI vita! Baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwenda nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ kumwangukia mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari’ kufuatia kuwepo kwa figisufigisu kati yao huku mama wa msanii huyo, Sanura Kassim ‘Sandra’ akihusishwa, mazito yameibuka.
TUJIUNGE NA CHANZO
Habari kutoka chanzo cha ndani ya familia ya Diamond zinamwagika kwamba, Zari amekubali kuja Bongo lakini akatoa sharti: “Nakuja Bongo, Desemba 8, lakini mama (mama mkwe) aondoke pale nyumbani (Tegeta-Madale, Dar).”

ZARI ATIA NGUMU, AKUBALI
Chanzo hicho kilimwaga ‘ubuyu’ kwamba, awali Zari alimtilia ngumu Diamond lakini baadaye alikubali kurejesha amani kama ilivyokuwa zamani hivyo watakuja wote Bongo baada ya kujiachia vya kutoka huko Sauzi nyumbani kwa mwanadada huyo.

mama-diamondMama Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’
DIAMOND KICHEKO SAUZI
Kuhusu kuweka mambo sawa na kuwa atarejea Bongo na Zari na mtoto wao, Latiffah ‘Tiffah’, Diamond alilidokeza gazeti hili kwamba, sasa ni ‘full’ kicheko na anamshukuru Mungu kwa kufanikisha kufanya mambo kuwa kama mwanzoni.

Alitamba kuwa atatinga Bongo wiki hii au mapema wiki ijayo akiambatana na familia yake kwani kwa sasa wapo poa na hakuna manenomaneno tena.
“Nakuja na familia yangu. Kwa sasa tupo poa sana na maisha yanaendelea. Kiukweli huku South (Sauzi) tuna amani sana,” Diamond aliliambia gazeti hili wikiendi iliyopita.
TURUDI KWA CHANZO BONGO
Ilidaiwa kwamba, baada ya mama Diamond kusikia kuwa, mwanaye atarejea Bongo, Desemba 8, mwaka huu akiambatana na Zari alianza kuhaha kwa vile alishamtolea maneno makali akidai kuwa, mkwewe huyo alikuwa analeta uzungu kwenye familia yake.

“Unaambiwa ndugu wanapomuonesha mama Diamond picha za Zari akijiachia na Diamond na mtoto wao, Tiffah, anaamini kweli anaweza kuja Bongo jambo ambalo hataki kulisikia,” kilisema chanzo hicho.
10843996_788400007864260_370710352_nDiamond na Zari
MAMA DIAMOND KAMA MAGUFULI
Kufuatia hali hiyo ilitonywa kuwa, mama Diamond alifunguka kimipasho:
“Hata kama akija ataondoka kurudi kwao kama alivyokuja kwani ‘Hapa Kazi Tu’ kama ilivyo kauli mbiu ya Rais John Pombe Magufuli.”

Ili kupata mzani wa habari hiyo, mmoja wa vijumbe wetu alimtafuta mama Diamond kwa njia ya simu ambapo aliwaka mara tu baada ya kuulizwa ishu hiyo.
Katika majibu yake ya hasira, mama Diamond alisema haogopi lolote na yupo tayari kwa lolote.

MSIKIE MWENYEWE
“Siogopi chochote Zari kurudi hapa, kama atakuja, atakuwa amekuja kama alivyokuja mwanzoni na ataondoka hivyohivyo kama alivyoondoka awali.
“Sasa kwani nina hofu gani wakati niko nyumbani kwangu hapa? Watu watuache na waache unafiki wa kufuatilia mambo ya watu,” alisema mama D kisha akakata simu.

TUJIKUMBUSHE
Mapema baada ya Zari kujifungua mtoto wa Diamond, kuliibuka maneno ya mama mkwe huyo kutoelewana na mama Tiffah ambapo mara tu baada ya sherehe ya 40 ya mtoto huyo, Zari alitimka Bongo kwa maelezo kwamba hatarejea lakini sasa anaweza kuja kupambana tena na mama mkwe wake anayeonekana bado ana jambo moyoni.

Trey Songz longtime girlfriend shares sexy photos online

Tanaya Henry has been dating Trey Songz off/on for seven years. She's a jewelry designer, a model and sometimes a video vixen. See more photos and her sweet message to Trey when he turned a year older over the weekend...


Umbea:Kidoa, Farid Uwezo wabambwa kimalovee

Video Queen mwenye mvuto wa aina yake, Asha Salumu ‘Kidoa’
KABANG! Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Asha Salum ‘Kidoa’ na msanii wa sinema za Kibongo, Farid Uwezo wamebambwa live wakiwa kimalovee kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar.

Wawili hao walikuwa wakilishana matunda aina ya strawberry, walipoulizwa kulikoni walidai ni marafi kitu hakuna kinachoendelea kati yao.
fariduwezoMsanii wa sinema za Kibongo, Farid Uwezo.

K. Michelle shows off her sexy curves in stunning new photos shared on Instagram

Kimberly Michelle Pate aka K. Michelle shows off her sexy curves in new pics shared on her Instagram page. See more photos and then you can agree with me for what is talking about,
 

Photos:Lisa Jensen is a Sexy Mama in new Photoshoot

 Former Miss Tanzania Lisa Jensen is such a hot mama in this new photoshoot by Albert Manifester
 A beach kinda theme...

 Need I say more?

Mahaba Niuwe:Kigogo atenga Milioni 10 kumnasa Kidoa

Mahaba Niuwe:Kigogo atenga Milioni 10 kumnasa Kidoa

Video Queen mwenye mvuto wa aina yake, Asha Salumu ‘Kidoa’.
FEDHA inaongea! Kigogo mmoja aliyeomba jina lake lihifadhiwe, amedaiwa ‘kukolea’ kimahaba kwa Video Queen mwenye mvuto wa aina yake, Asha Salumu ‘Kidoa’ kiasi cha kutangaza dau la shilingi milioni kumi.
Chanzo chetu makini kilicho beneti na kigogo huyo anayemiliki yadi kadhaa za magari hapa Bongo, kimesema bosi huyo kila wakati amekuwa akimzungumzia Kidoa na kuahidi kumpa shilingi milioni kumi endapo tu atafanikiwa kulipata penzi lake.
Chanzo hicho kilikwenda mbali zaidi na kusema kwamba kigogo huyo amekuwa akihaha kila kona kutafuta namba za simu za Kidoa ili aweze kuzungumza naye na kuelewana na hatimaye kumpa malavidavi.

“Jamaa yangu amechanganyikiwa mno, hatulii, kila wakati anamuulizia Kidoa huku akiahidi kumpatia milioni kumi kama tu atafanikiwa japo kuwa naye usiku kucha kwani kama mademu kaona wengi, ila kwa Kidoa, moyo wake umegota kabisa. Kila siku anahaha kutafuta namba yake, hajaipata ila yupo radhi kuinunua kwa gharama yoyote ile,” kilisema chanzo hicho.
Mara baada ya kunyetishiwa ubuyu huo, mwanahabari wetu alimvutia waya kigogo huyo ambapo alikiri kumsaka mrembo huyo kwa hali na mali lakini akaomba asiandikwe gazetini.
“Jamani kama mnaweza mnisaidie. Mtoto kaumbika, nilianza kumuona kwenye ile video ya Akadumba ya Nay wa Mitego sasa picha zake zinazotoka katika magazeti zinanidatisha kweli nisaidieni ila ‘please’ msiniandike gazetini,” alisema kigogo huyo.

Photos:Socialite Corazon Kwamboka Is Back And Her Huge B00TY Is As Big As Ever



It seems nothing will stop curvy Kenyan socialite Corazon Kwamboka from tempting men with her big derriere. 
The well endowed lass recently took to her instagram page to flaunt her goodies like no one’s business.
Recently the socialite flaunted her new house on snapchat and even revealed her cute Ugandan man.
For the thirsty men who love big things, feast your eyes on this.  


My dad broke my virginity when I was thirteen. Should I tell my current boyfriend?

My dad broke my virginity when I was thirteen. Should I tell my current boyfriend?

I do not have a life of my own and it’s really eating me deep. Have you ever felt like sharing a secret? One you know could destroy your total existence?

I’m not sharing this because I want you to be moved or perhaps feel I need mental support, I just need your genuine advice.

During my revelation here, I said to myself “what do I have to loose, my identity will be protected and I expect them to respect it”

I was 9 when my mother passed away… what ever killed her, I don’t have an idea all I know was on that faithful day my dad yelled repeatedly that I get water and the car keys. I was young and also the only child, my mum always thought my dad spoilt me with gifts and for that I hated her. More so, when my dad told me she wasn’t coming back again, I smiled… deep down I was happy.

Three month after she died my dad’s love increased but then it got really intimate… I felt in love with my dad. At thirteen, I began developing urges and my dad was the closest I could talk to. Few months after my birthday my dad kissed me, it was really not the same kiss he always gave me, this time he said I reminded him of my mum. I was pleased and I kissed him back, same night about 11pm I was de flowered, although it was painful but I still wanted more of it somehow. I never told anyone, there wasn’t even anyone close enough to tell except my dad.

Our affair has been on until I met someone, I won’t mention his name cause he might just figure out.

He’s been good to me and honestly I’m beginning to have a separate feeling, different from what I felt for my dad.

I’m 26 now, for 2 years now I’ve been with him and stopped sleeping with my father. In a way my father agrees that I’m old enough to know what I Truly want .

Few days back on valentines day he proposed and I’ve never felt this happy in my life.

Now my challenge, he looked me in the eye and said “don’t ever keep anything from me, not even the tiniest secrets” I feel like he knows, may be sees through me.

Please help me out. What should I do? Should I tell him about my father? I’m confused. This is the only medium I can use to reach out without being seen. I need your help now…..

Diamond Platnumz:Sitaki Kabisa Kushika Simu ya Zari Naogopa kuumia!

Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake Zari ni watu ambao huwa hawapendi kupekuliana simu simu zao ili kuepukana na matatizo yanayoweza kusababishwa na simu za mikononi. Simu za mikononi huwa ni moja ya chanzo cha ugomvi kwa wapenzi wengi, na tumekuwa tukisikia story za couple nyingi kuingia kwenye matatizo kutokana tu na mmoja kukuta ujumbe au picha zenye utata kwenye simu ya mwenzie hata kama haimaanishi kuwa anamsaliti.
 Diamond na Zari wote ni watu maarufu ambao wana mashabiki wa jinsia tofauti, hivyo kwa kutambua mazingira ya kazi zao wameona ni bora kuaminiana bila kupekuana kwenye simu zao. “Hicho ni kitu cha kwanza ambacho siwezi kudiriki kabisa,” alijibu Diamond alipoulizwa na Millard Ayo kama huwa anashika simu ya Zari. Diamond aliendelea kutoa sababu za kutoshika simu yake, “sidiriki kwasababu namjua ni binadamu , unajua sometimes ukizingatia na yeye (Zari) ni mtu maarufu so sometimes watu wengine wanakuwa wanamsumbua, anaweza kukutwa na vishawishi sometimes anaweza akamjibu mtu akaitikia tu poa, kwangu mimi kikanikwaza kwasababu nampenda kwahiyo ikaniumiza, kwahiyo sitaki kabisa kushika simu yake.” Pamoja na kwamba yeye hashiki simu ya mpenzi wake, vipi kuhusu Zari kushika simu yake? “ Simu yangu mi haina password naiachaga tu lakini nafikiri na yeye ni mtu wa dizain hizo ambaye hataki kabisa kudiriki kushika simu yangu, yaani simu zinaleta ugombanishi sana.” 
Diamond pia aliwashauri watu wengine kutoshika simu za wapenzi wao ili kuepukana na matatizo yanayoweza kuepukika. “Kwahiyo simshauri mtu kushika simu ya mpenzi wake, cha muhimu tu kuzingatia kama anakupenda anakujali anakuheshimu na umuone na hivyo vitu, lakini kwenye simu yake mwache afanye chochote anachojua yeye.” Alisema 
Udaku:Flora ajiachia na mlinzi wake!

Udaku:Flora ajiachia na mlinzi wake!

mbasha
Nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Flora Mbasha (kushoto) akiwa katika pozi na kijana anayedaiwa kuwa mlinzi wake, Peter.

GUMZO! Miezi kadhaa imekatika tangu nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Flora Mbasha kumwagana na mumewe, Emmanuel Mbasha ‘Imma’, habari ya mjini kwa sasa ni mwanadada huyo kudaiwa kujiachia kila kona na jamaa anayemtambulisha kwa jina moja la Peter akisema kuwa ni mlinzi wake wa karibu, Risasi Jumamosi linatumbua jipu!
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wamekuwa wakionekana katika hafla mbalimbali wakitembea kama kumbikumbi hali ambayo imekuwa ikizua minong’ono kuwa huenda jamaa huyo ni m’badala wa Emmanuel.
“Hivi hamna habari? Yaani tangu Flora amwagane na Mbasha, amekuwa akiongozana na Peter kila mahali, eti ndiye mtu wake wa karibu. Wamekuwa wakionekana hoteli pamoja, mara katika hafla mbalimbali. Yaani sasa hivi siyo siri, kila mtu anajua ni mtu na mwenzake,” kilisema chanzo hicho.

mbasha2Flora Mbasha.
CHANZO CHAANIKA PICHA
Kuonesha kuwa hakibahatishi, chanzo hicho kilimtumia picha mwandishi wetu inayomuonesha Peter na Flora wakiwa katika pozi la kugusanisha vichwa vyao nyuma kukiwa na tanki la maji.
“Kama vipi ngoja nikutumie picha hii ujionee mwenyewe maana nikisema hawa watu wapo karibu sana namaanisha ukaribu haswaa,” kilisema chanzo hicho huku kikimtumia picha mwandishi wetu.

ema-mbashaEmmanuel Mbasha ‘Imma’
UKARIBU WAO ULIANZA ZAMANI!
Baada ya mwandishi wetu kutumiwa picha hiyo, ‘kiranja’ wa gazeti hili alivuta kumbukumbu katika makabrasha yake na kubaini kuwa, wawili hao walianza kuwa karibu kwa muda mrefu lakini ukaribu wao ulikolea zaidi wakati wa kesi ya Imma akidaiwa kumbaka shemejiye iliyokuwa ikiunguruma kwenye Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar.

RISASI LILIWAHI KUWAKUTA PAMOJA!
Kumbukumbu zilionesha kuwa, siku moja kwenye viunga vya mahakama hiyo Peter na Flora walionekana wakiwa ‘klozdi’ na katika utambulisho alioufanya Flora kwa mwanahabari wetu alisema jamaa huyo ni mtu anayemtumia kama mlinzi wake wa karibu.

PETER KIZIMBANI
Ili kujua tofauti ya tui na maziwa, mwanahabari wetu alimtafuta Peter kwa njia ya simu na kumsomea madai hayo ambapo alijitetea kuwa, yeye na mwimba Injili huyo si wapenzi ila ni ndugu.
“Aah! Kaka, hakuna bwana! Unajua hizo ni mbinu za Imma (Mbasha) kutaka kutuchafua mimi na Flora. Mimi ni ndugu yake Flora, nadhani hata siku ile pale mahakamani Ilala ulitambulishwa hivyo,” alisema Peter.

FLORA AIBUKA MZIMAMZIMA!
Dakika kadhaa baada ya mwandishi wetu kuzungumza na Peter juu ya jambo hilo, mara simu yake ya mkononi iliita na alipoangalia jina la mpigaji alikuwa Flora, haraka sana simu ikapelekwa sikioni kutaka kusikia shida yake:
“Kaka, nasikia umempigia simu Peter na kumuuliza kuhusu ukaribu wangu na yeye. Kwanza samahani kama amekujibu vibaya. Unajua yeye huwa si mtu wa kuzungumza sana na ana hasira za karibu.
“Lakini ukweli ni kwamba, yule ni ndugu yangu, japokuwa ni kweli niko naye karibu. Wakati mwingine namtumia kama mlinzi wangu. Si unajua wakati niko kwenye mfarakano na Imma, kulikuwa na vitisho vingi, hivyo familia yangu ilimteua yeye kuwa mlinzi wangu, ndiyo maana kila nilipo lazima na yeye awepo, maana nikipatwa na lolote wa kwanza kuulizwa atakuwa yeye.
“Hakuna kingine zaidi ya hapo lakini naomba hayo mambo uachane nayo, yatazua mjadala mwingine usiokuwa na maana.”

IMMA ANAMJUA PETER?
Ili kuzidi kuishibisha habari hiyo, Risasi Jumamosi lilimtafuta aliyekuwa mume wa Flora, mista Mbasha mwenyewe ili kujua kama anafahamu chochote kuhusiana na ukaribu wa Peter na mkewe waliyetengana.
“Hata mimi nasikiasikia tu hizo habari lakini kimsingi sihitaji sana kuzitilia maanani maana mimi kwa sasa naangalia maisha yangu, yaliyotokea yameshatokea na nimemwachia Mungu.
“Ukaribu wao uwe wa kawaida, usiwe wa kawaida, mimi sijali. Nimeshaacha kabisa kumfuatilia huyo mtu (Flora),” alisema Mbasha.

KUMBUKUMBU
Flora na Mbasha ndani ya ndoa yao iliyoparaganyika mwaka jana, walifanikiwa kupata mtoto mmoja aitwaye Elizabeth ‘Liz’, waliachana baada ya Mbasha kutuhumiwa kumbaka shemeji yake huyo kisha kesi kuunguruma mahakamani ambapo hukumu ilipotolewa Septemba mwaka huu, Mbasha hakupatikana na hatia.

Global Publishers

Photos of the Day...Huddah Monroe

Huddah Monroe: She can't stop post her sexy photos through social Media,Huddah as known in East Africa by what is she doing,can have many fans in social Media. Apart from all also she is so beautiful. See her more her amazing photos:





Photos:Citizen TV news anchor Shows off Her Sexy Toned Body In A Black Bikini

Photos:Citizen TV news anchor Shows off Her Sexy Toned Body In A Black Bikini

Sexy for days! The sizzling hot Citizen TV news anchor has sparked excessive excitement and confusion after her photo surfaced online.
Yes she’s a public figure but Lillian Muli is a very private person. She has kept her off-the-screen activities a hush-hush locking out rumor thirsty bloggers from accessing her whereabouts.
Lillian1
But it was only a matter of time before the eye candy slipped and online news outlets capitalized on her mistake to gain traction.
And it only took a selfie to earn Lillian unrivalled publicity on social media. The Citizen TV anchor is seen by the poolside basking her majestic body in what appears to be an afternoon sun.
Lillian must have been at some ritzy resort because the background didn’t resemble any scene from some rugged ghetto. And she was rocking black bikini.
lillian.jpeg

image15
Born Again Kenyan Socialite Risper Faith leads Men Into Temptation As Her Mammary Glands Threaten To Pour Out Of Her Top

Born Again Kenyan Socialite Risper Faith leads Men Into Temptation As Her Mammary Glands Threaten To Pour Out Of Her Top

After a few years of being fodder for tabloids, a target for trolls and as an object of licentious affection from Team Mafisi and Team Mbweha, Risper Faith finally hang up her socialite coat.
She then went on to claim that she had found Jesus, she was now Risper Faith the born again lady , a Christian and she even had the verse’ The Lord is my Shepherd’ tattooed on her arm.
But as she walks the path of straight and narrow, the life of seduction still beckons and now she is leading men into temptation, with extremely sexy pictures of her bosom which she affectionately refers to as her ’berries’
lady_risper.jpg
lady_berries.jpg

Photos:Meet Miss Miami who has shocked the World with her Giant Booty

For those who think that Vera Sidika had a big booty, wait until you see, Miss Miami, an American str!pp3r and video-vixen who has been driving men across the world with her giant booty.
Nairobi Newz:Here Are The 10 Types Of Prostitutes You WIll Find In Nairobi

Nairobi Newz:Here Are The 10 Types Of Prostitutes You WIll Find In Nairobi

Let’s not even hide it. Nairobi is a ‘Malaya Republic’. Prostitution is still illegal and stigmatized in Kenya, but still it is not unusual for an independent-minded upper-class woman to become a courtesan
In Nairobi, there’s a bewildering variety of whores, We are in Sin City, but hey, this is not judgment day so let’s get to see which types you are most likely to encounter the capital .
Escort Agency Prostitutes
Like independent call girls, employees of escort agencies work in private locations or offices and charge relatively high prices. You’ll mostly find them in high end locations outside town such as Valley Arcade, Hurlingham and Westlands. They are generally hotter, satisfying and more safe because getting tested is a requirement for them.
‘Mboch ‘ Prostitutes
This form of prostitution has just emerged. Bachelors hire a yummy mboch who does the cleaning and also gets paid for sex. Even married men do the same behind their wives backs. Apart form the normal salary, a mboch is paid bonuses for performing ‘D’-sucking and bendover stunts for ‘Baba wa Nyumba’. Most mboches actually, even those who had never imagined selling their bodies never refuse this kind of arrangement. They get ushered into it by the horny men that have employed them and the habit becomes engrained in their DNA.
River Road Prostitutes
These women are located in downtown Nairobi in shady brothels that are dedicated locations where guys pay for sex. The prices they charge are "moderate,". These riveroad prostitutes also endure "moderate exploitation" since they have to give part of their earnings to the brothel owners or the pimp mama in charge.Yes,,t hese women have a bonafide pimp who set the rules, controls their actions, and takes their earnings.
Bar maids
Because of their low-to-moderate wages, most barmaids in Nairobi have no qualms about doubling as prostitutes. These sex workers make initial contact with men while at work then make arrangements to have sex with them at separate locations. 
Streetwalker
Streetwalkers earn relatively little money and are vulnerable to exploitation. Not surprisingly, they report less job satisfaction and get paid less than "indoor prostitutes" (bar workers, brothel workers, or call girls).
Streetwalking is also notoriously dangerous. Some get beaten by clients or get exploited by police officers, Their services are mostly performed in the client’s car or at a cheap lodging in town.
2015 11 01 00.22.45
Estate Prostitutes
Estate prostitutes work for themselves in their houses, charge relatively fair prices, and stay away from the public eye. They likely advertise their services online, with a list of do’s and don’t’s and they also get to keep their profits since they're self-employed. They also have other jobs. That’s right. Estate prosititues are are flatbacks. A flatback is one who does an honest days work for an honest days dollar in the world of prostitution. They are interested in a fair and even exchange as agreed upon by themselves and the customer Don’t be surprised to find out that the hot accountant in your accompany also doubles as a whore.
Socialites
Vera Sidika, Huddah Monroe, you can name the all. They all sell their cookie for the dollar. A socialite is just a decorated whore, Socialites record greater job satisfaction since they are free from the arbitrary regulations inflicted on their lower class sisters. They get to have the say in how things are done in the bedroom and also have the luxury of flying business class to shag wealthy Viagra popping grandpas abroad.
Sponsor babes
The numbers in this category are increasing by the day. College girls and young ladies who are in their first jobs are constantly looking for rich men to finance their lifestyles in exchange for sex. Even ladies that are in serious relationships are secretly seeing rich men on the side. It has become a lifestyle for these girls. They pride themselves in it while rolling with the mantra “Kama hauna kitu jitoe” . Woe unto the broke niggas. It’s survival for the fittest out here.
Massage Parlor Prostitutes
Almost all massage parlors offer ‘happy ending’ services nowadays. In fact the massage is just some form of foreplay to trigger the customer to pay for the end product. When you go for a genuine massage, the girls ‘touch touch’ you in all the right places then when your thirst levels are up, they inform you about other ‘special packages’. The temptation is high so you just go ahead and pay for the B.J or quickie anyway.
Male prostitutes
Yes, there are men too whose life goals are ‘kulishwa na wanawake’ in exchange for sex. I don’t know how they do it. Some even have no homes. Some have no homes. They just jump from one woman’s house to the next
Credits: Ghafla from Kenya
Udaku:Mimba ya Jokate yazua balaa

Udaku:Mimba ya Jokate yazua balaa

JOKATE44
Jokate na Kiba wakipozi  kimahaba.
Kwani kimenuka? Siku chache baada ya kubumburuka kwa habari ya kunasa mimba ikimhusisha ‘mtoto mzuri’ Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ huku mhusika mkuu akitajwa kuwa ni msanii nguli wa Bongo Fleva, Ali Kiba, ishu hiyo imezua balaa kufuatia familia ya mrembo huyo kushtushwa na hali hiyo, Ijumaa Wikienda limenyetishiwa.
TWENDE OYSTERBAY

Mwishoni kwa wiki iliyopita, ‘kijumbe’ wa gazeti hili alitua getini nyumbani kwa akina Jokate, Oysterbay jijini Dar kwa lengo la kutaka kujua nini kinaendelea juu ya binti yao kunasa mimba nje ya ndoa ilihali familia hiyo inasifika kwa misingi bora na maadili ya kidini.

Gazeti hili lilipotia timu nyumbani hapo, lilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa wanafamilia hiyo aliyekuwa nje akifanya usafi ambaye bila simile ‘alifunua kinywa’ na kuweka hadharani mambo mazito.
GAZETI LA IJUMAA LAIBUA MAMBO

Kama anayeogopa jambo fulani, memba huyo wa familia ya Jokate alisema kuwa, mrembo huyo alikuwa akifanya siri kubwa juu ya ujauzito wake huo, lakini baada ya gazeti pacha la hili, Ijumaa, kuibua habari hiyo, familia hiyo, hususan mama yake mzazi (jina lipo), alizua utata mkubwa kwa binti huyo na kwamba alishtushwa na hali hiyo na kumlazimu kumkalisha ‘kitako’ Jokate ampe ukweli.

“Jokate alikuwa akifanya siri sana, lakini ninyi mlipoandika habari hiyo, hapakutosha, mama yake alimuitisha kikao na baadhi ya ndugu wengine, lakini Jokate hakutaka kuweka wazi juu ya hali hiyo.
sfud7zknmrs4955def775ef165
“Ninavyosikia, kuna uwezekano mkubwa wa Jokate kuhama hapa nyumbani akajitegemee ili kuififisha aibu hii kwani familia inadai amewatia aibu kwa kitendo chake cha kubeba mimba nje ya ndoa,” alidai mhusika huyo.

JOKATE ATOWEKA

Mnyetishaji wetu huyo aliendelea kudai kwamba, baada ya kuona anabanwa, alitoweka nyumbani hapo kwa siku mbili kabla ya kurejea na kuondoka kisha kurejea tena.

Kama kawaida ya gazeti hili kujiridhisha kwa kila habari kabla ya kuichapisha na kuwapelekea wasomaji wake, ‘kiranja mkuu’ wa dawati la Ijumaa Wikienda, mashine kubwa kwa habari za ndani za mastaa wa Kibongo, alimtafuta mrembo huyo kupitia simu ya mkononi na alipobaini kuwa mpigaji ni mwandishi wetu alishindwa kusema chochote zaidi ya kuiacha simu hewani na baadaye kuikata.
ATUMIWA SMS

Hata hivyo, ili kujizolea ushahidi madhubuti, mwanahabari wetu alimtumia ujumbe mfupi wa maandishi (sms) na kumsomea madai hayo, lakini hakujibu ujumbe huo licha ya simu ya mwandishi wetu kuonesha kuwa ujumbe ulikuwa umepokelewa (delivered).

KIBA KIMYAA

Pia, kwa upande wa Ali Kiba, simu yake ilionekana kutokuwa hewani muda mwingi, lakini mwandishi wetu alituma ujumbe wa kutaka kusikia chochote kutoka kwake ili akiiwasha simu akutane na ujumbe huo, lakini hadi gazeti hili linaenda kuchapishwa, hakuwa amejibu ujumbe huo achilia mbali kupiga simu hivyo jitihada zinaendelea.

Hata hivyo, mashabiki wa mastaa hao wameendelea kuwapongeza kwa namna ambavyo wamekuwa wakioneshana mahaba na kwamba suala la kupata mtoto ni jambo la heri bila kujali wamefunga ndoa au la.

GlobalPublisher
Juliana Kanyomozi’s Sexy Photo Causes Involuntary Whooper Stampede

Juliana Kanyomozi’s Sexy Photo Causes Involuntary Whooper Stampede


Singer Juliana Kanyomozi from Uganda sends her male fans into a state of confusion after she flaunted her sexy figure on social media

Aging but sexy Singer Juliana Kanyomozi’s dress code caused whooper Stampede among the horny dudes on social media.

Juliana threw many horny lads into disarray with her new hot look after posing in a sexy photo. Dressed in tight jeans that revealed her parabolic curves, the singer mercilessly flaunted her thighs up for display-sending the men into involuntary whooper stampedes
Meanwhile, one extreme horny fan had this to say:

But Juliana I Feel I Want To Marry U Coz Am Wel Off, Where Can I Find U Baby?
It remains unclear to why JK had to poses putting emphasis on her booty, but some people claim it was a birthday gift Mr. Flavour, the Nigerian singer she has been linked of late! 
What do you think of this sexy photo?

Photos:Christina Milian almost exposed herself on the red carpet at AMAs

The 34-year-old singer and mother of one almost exposed herself in a braless plunging black number featuring a thigh high slit at the American Music Awards last night. More photos