KIOJA: WANAUME WA KENYA KUTOSHIRIKI TENDO LA NDOA KESHO


Kati kuadhimisha siku ya kile wanachokiita Mateso na Ukatili unafanywa na wanawake dhidi ya wanaume, Huko nchini Kenya, wanaume wa nchi hiyo wameamua Kutoshiriki Tendo la Ndoa kwa siku hiyo yaani Tarehe 11/11. Sidhani kama wanaume majirani wa Tanzania wataunga mkono hili.

Umuhimu wa Mwanamke Kurudisha Umbo zuri Baada ya Kuzaa



Kwa mwanamke ni jambo la faraja kupata mtoto baada ya kuolewa, lakini kupata mtoto kunaambatana na mabadiliko ya mwili kwa mwanamke. Ni wanawake wachche sana wanaobaki na miili yao mara baada ya kujifungua, lakini wengi wao hupoteza muonekano wa awali na kuongezeka mwili au tumbo na hivyo kupoteza muonekanao wake wa awali.

Jambo hilo kwa baadhi ya wanaume ambao mapenz kwa wenzi wao ni muonekanao wa nje wa mwanamke jambo hilo huzua kero na kupoteza hamu ya kukutana kimwili na mwenzi wake kama awali. hapo ndipo tatizo la kuchepuka linapoanza.

Ingawa pia tatizo la baadhi ya wanawake kuhamisha mapenz kwa watoto wao badala ya baba zao linasumbua ndoa nyingi, lakini hili la kupoteza muonekano na kuwa tipwatipwa limeonekana kuchangia wanaume wengi kupunguza mapenzi kwa wenzi wao.

Kwa ushauri tu, ni kwamba, wanawake wanapaswa kubadilika na kuanza kufanya mazoezi na kuzingatia mlo wao wa siku kwa kuacha kula hovyo hovyo ili kuepuka kupoteza muonekano wao wa awali. Si lazima kwenda kwenye nyumba za mazoezi kwa sababu kunahitaji gharama ambazo wengine si rahisi kuzimudu, lakini kwa mazoezi ya kutembea kwa umbali wa maili mbili kwa simu asubuhi au jioni kila siku na kufanya mazoezi ya kucheza mziki (Aerobics) kunaweza kusaidia kuweka mwili katika muonekano mzuri.


Ni ushauri tu.

Source: Mtambuzi

Magari na Ofisi Kuwa "Guest" Bubu..... Ni Fedheha.


Habari za leo wadau wa Blog hii?

Kwa takriban miezi 6 nimekuwa busy na majukumu mengine ya kitaifa kiasi cha kukipa mgongo kijiwe chetu hali inayopelekea kushindwa kupeana habari na mafunzo mbali mbali kwa mustakabali wa Ndoa zetu.

Kwa leo nienze na samahan kwa ukimya wangu, halafu nijikite katika kichwa cha mada yetu leo. Katika jamii yetu ya leo, suala hili limekuwa likishika usukani kila leo, waanyakazi wa kada mbali mbali bila kujali nyadhifa zao wamekuwa wakitumia vibaya nafasi zao na kugeuza ofisi zao kuwa Machaka ya kufanyia madudu yao.

Hili limeenda mbali kiasi cha kupelekea kugeuza magari kuwa Guest Bubu, hili halipendezi na sio wafanyakazi peke yao bali hata wafanya biashara. Hili halivumiliki na wahusika wajitahidi kuepukana nayo usije ukijikuta unapata matatizo na wako wa ukweli sababu a kulazimisha starehe ya muda mfupi na huyo mchepuko wa ghafla.

Weekend njema wadau wangu,......Tumerudi Upyaaaa.

YATAMBUE MADHARA YA KUTOSHIRIKI TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU ( WANANDOA)

Aise, kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya ugonjwa ku-offset system ya mwili, madhara ya kutofanya tendo la ndoa kwa muda mrefu ni makubwa kuliko unavyofikiria as long as upo ktk active range of age! madhara yapo ya Negative na positive.

Mfumo wa fahamu (central novous system) hutumia zaidi tendo la ndoa ku-radiate energy inayowezesha ubongo pamoja na mifumo mingine ya mwili kufanya kazi zake vizuri bila msongo. Suala hapa si lazima uk*e na u*me kukutana na kuingiliana (penetration) ila tu stimulation(msisimko) inayofikisha mtu kileleni (orgasms). kwahiyo, nature(asili) inataka mke na mme kufanikisha zoezi hili maana ni jambo muhimu kama ilivyo kutoka jasho mwilini maana sio tu mwili unaondoa uchafu ndani lakini pia inacontrol joto la mwili (cooling effect).

Anayesema amekaa zaidi ya mwaka na hana madhara.., well sikatai wala sikubali maana hatuna ushahidi nalo lakini zipo njia nyingi mbadala kama kutumia s*x toys, dildo(vibrant artificial pen!s zitumiazo umeme), usagaji n.k. sasa sijui yeye anatumia ipi sababu vichocheo anavyo mwilini and, it's brain iniciated.

Ukidumu bila tendo la ndoa muda mrefu, baadhi ya madhara madogomadogo nikama haya:
Hasira za mara kwa mara ktk mambo madogo,
kupendelea sana kuangalia picha za uch**i,
Kusahausahau,
Kupendelea story za map#nzi,
Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
Kuumwa na kichwa,
Kukakamaa mgongo (wanaume),
Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.

MANENO YA KUPANDISHANA "NYEGE#" KWA WANANDOA.



Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "ny#ge"kabla ya kuanza kufanya map3nzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi!
               -
Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my l0ve" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidogo! nayeye hawezi kubaki kimya lazima atajibu mashambulizi, nna uhakika itafikia point kila mtu, Udenda Utamtoka kwa nafasi yake.......! Na kila mmoja akawa na hamu ya map#nzi na mwenzie! Tuyatumie Maneno hayo kwa nafasi zetu! Yanahusika saaana!  ADIOS!!!!

KWA WANANDOA, "MWENZA" HAJIWEZI!!! UNAFANYAJE?


Kuishi wawili ni kuvumiliana na kuona mengi, miongoni mwa hayo ni hili, inaweza ikatokea Mume ana Matatizo katika utendaji au Mke akawa ndo mwenye Tatizo. Ikiwa hali ipo hivyo tunafanyaje? Si vizuri baada ya kuona mapungufu ya mwenza wako ukaamua kutoka na kutafuta Nje wa kuziba Pengo. Suluhisho ni wote kwa pamoja kuungana na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu tatizo husika, iwe ni kwa dawa za hospitali au tiba mbadala, na kama ni mapungufu ya kielimu wanaone wataalam wa mambo hayo wawape elimu na ushauri utakaowafaa hatimaye kuzidi kuilinda na kuienzi ndoa yenu!

"VIPI UTAFIKA KILELENI MWANAMKE " PART 2


Utashanga kwanini niweka pt 2, nimefanya hivyo ili kupa mp#nzi msomaji nafasi ya kuchuja na kuyafanyia kazi yale nilojaribu kukufahamisha katika part 1. Huku nataka nigusie kwa uchache yanayojiri mara baada ya mkono kufika ikulu.
                    Sasa hapa mume unatakiwa uwe makini, mpole na usitumie jazba au uharaka wa kutaka kuingiza kidole kunako "nanhino" maana utaweza muumiza, mshtua au kumchobua kabisa.Kabla ya kuingiza kidole unaanza kwa kugusa kwa upole na kuchezea chezea "Kin#mbe" (mtaniwia radhi kiswahili kigumu) wengine huuita "kiharage" kizungu ni cl!toris. Muundo wa kiungo hiki hautaki kusuguliwa kwa kutumia nguvu, hivyo chonde chonde usije pandwa na mdadi na ukaanza kumsugua mkeo kama unasugua goti linalowasha.   Kama inawezekana ingiza kidole katika uke kidogo ili uchukue maji maji laini yanayopatikana humu na kidole hicho ndo ukitumie kuchezea chezea sehemu hiyo.
        Unaweza kupachezea hadi utakapoona uk# umevimba/ au mkeo kabalika rangi(kwa weupe kuwa mwekundu) au mwingine hata sauti hubalika na milio ya ajabu huanza kusikika, wakati haya yakiendekea mdomo wako unatakiwa uwe unachezea chuch#, kumbusu yeye mwenye, shingoni na kumnon'goneza maneno matamu katika masikio yake. baada ya kufanya hivi kwa takribani dakika tano hivi unaweza kuingiza kidole au vidole ndani ya uke, na kuanza kumchezea ndani na nje(USISAHAU KUSOMA JINSI YA KUCHEZESHA KIDOLE NDANI YA UK#). Kwa dakika mbili au 3 sasa unaweza anza kumu!ngilia mkeo, huku ukiwa muangalifu kwa kutowahi kufika kileleni (KUK0JOA).kabla ya mkeo na ikibidi mfike pamoja. Soma zaidi kuhusu G-Sp0t. 

SABABU 10 ZA MIGOGORO KATIKA NDOA


Ingawa tufunga ndoa na kuamua kuishi pamoja, lakini tunakumbana na mengi, kuna yaliyondani ya uwezo wetu kuyatatua na kuyaondoa kabisa, lakini kuna mengine yapasa tupate msaada toka kwa wanaotuzunguka na wenye nia njia na mahusiano yetu na ndoa zetu kwa ujumla.Kwa uchache nizielezee sababu zinachangia migogoro katika ndoa nyingi, ukizijua utajitahidi katika ndoa yako sizikukute au kama mshakumbana nazo, mzifahamu na mjue jinsi ya kuzikabili.

1.Matatizo ya Kifedha
Pengine hii ndio huwa sababu kubwa mara nyingi, na hasa inapotokea wakati mnaoana hali ya kifedha ilikuwa nzuri tu, lakini sasa mambo yamebadilika kidogo na gharama za maisha zimekuwa juu!

2. Watoto.
Ingawa kabla ya kuwapata mlikuwa mnahamu na mnawaomba kila kukicha, lakini mara nyingi watoto huja na changamoto zao kikubwa ni kupunguza map#nzi baina yenu hasa wakiwa wachanga au wakiwa ndo kwanza wanakua kua.

3. Kufanya Map#nzi
Hapa napo panachangia mno. Inawezekana ikawa kiwango cha map#nzi, ladha ya map#nzi au ufundi na utundu, umepungua au umeisha kabisa. Wakati mwingine ni map#nzi ya mgao kama umeme vile kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo U Busy wa wanandoa hasa wafanya kazi.

4.Kuwa Mbali Mbali
Hii nayo huchangia hasa mwenza anapokuwa anafanya kazimbali nawe, au muda mwingi anakuwa mbali nawe kutokana na mazingira yake ya kazi, mathalani mwana usalama au mkurugenzi fulani.

5.Majukumu ya Nyumbani
Hili huwagusa zaidi wanandoa ambao wote ni waajiriwa au wanajishughulisha kitofauti tofauti na hivyo basi kila mmoja ana uwezo binafsi wa kipato. Nani afanye nini? Lipa Ada ya wototo, mimi nilipe kodi ya nyumba!

6.Marafiki
Si katika wote miongoni mwa marafiki tulionao ni wema kwetu. wengine huliangalia p#nzi letu kwa husuda na wanatamani kila leo tuwe tumeachana, ingawa hawalitamka hilo mdomoni lakini wanaweza kujionesha kwa vijitabia vyao na maneno yao.

7.Kulinganisha Tabia
Inawezekana ulikuwa katika mahusiano fulani kabla ya haya uliyonayo sasa au kabla ya ndoa yako. Kama ni hivyo usiwe na mazoea ya kulinganisha au kupisha mambo ya Mp#nzi wako wa zamani na mumeo/Mkeo wa sasa, hii itakufanya ushindwe kusonga mbele hasa mkigombana au kuudhiana kidogo na kuanza kusema "Enzi za Fulani, angenifanyia hivi..."

8. Familia.
Ndugu, Jamaa na watoto wetu, au watu wetu wa karibu huwa miongoni mwa sababu za kuvunjika mahusiano na ndoa zetu kwa ujumla. Watoto wa kambo, mawifi na mashemeji. Inabidi tuwaweke Wake/Waume zetu kwanza kabla ya wote ili tuwe na nguvu ya pamoja katika kutatua matatizo yanayotusibu.

9. Matarajio.
Kuna Baadhi yetu huwa tunaingia katika ndoa tukiwa na matarajio mengi na hali inakuwa tofauti tukashaingia ndani ya ndoa. Tutafanyaje? kwa wenye mwepesi huwa hawadumu na kusema bora tuachane tu, Mbona wakati nipo Single mambo yalikuwa safi tu. Ila kwa wachache huweza kustahimili na kukubali kile kilichokuwa mbele yao, na hatimaye kukishinda.


10 Migogoro Binafsi.
Kamwe tusiruhusu migogoro yetu binafsi iwe ya kazini au wapi ambayo haina mahusiano na ndoa zetu ikaharibu ndoa zetu. Hata kama wamekutibua ofisini hasira zako ziache mlangoni na uingie kwa Mumeo/Mkeo ukiwa na tabasamu kama ndo mmetoka kuoana.

Kwa machache haya naimani tutayaangalia kwa mtazamo mpana zaidi na kuyafanyia kazi, ili tuzidi kuishi na mahusiano yetu vizuri na ndoa zetu kwa ujumla.

Nakaribisha Maoni yako Mdau wangu......!!!!

CHAKULA BORA KWA AFYA YA MAP#NZI KWA WANANDOA.


Kiujumla kilichokuwa kina uzuri moyoni basi kina hamasa katika map#nzi, hii hujumuisha hadi chakula,chakula Bora. Katika hali hiyo naomba nizungumzie kwa uchache vyakula ambavyo tukila huongeza afya ya map#nzi na afya ya miili yetu kwa ujumla.

1. Spinachi, Kabichi na Mboga Mboga!
Tena hivi kwa kwetu Tanzania vimejaa kibao tu na wala havina gharama sana, sema tatizo letu tukishakuwa na uchumi mzuri kidogo hutaki tena kula vyakula vya bei nafuu!
 

2. Chai isiyokuwa na sukari nyingi, na kupunguza vinywaji vyenye sukari nyingi mathalani soda.
 


3.Kula sana matunda kama mlo mmoja badala ya kula matunda kama kisindikizio baada ya kula, mfano wa matunda ni machungwa, mapeasi, ma apple, kwa watu wa mbeya "Mafyulisi" n.k.








4. Mayai ya kuku wa kienyeji ya kuchemsha

 










5. Glass ya Red Wine na Nyama kwa mara chache












6.Korosho, Karanga,Mbegu za Alizeti na Maboga.


7.Maharage na Protein kwa wingi.












8.Minofu ya samaki, mathalani sato!
 











9. Ngisi (hasa kwa wanawake) na pweza!


 











  10. Vipande vya chocolate nyeusi kwa uchache.

 

11. Strawberies
 










12. Asali na Maziwa












Huu ni kwa uchache kuhusu vyakula hivyo, nimeshindwa kuvitolea maelezo mengi maana kila jamii ina utaratibu wake wa kuviandaa(kwa vile vinavyopikwa) ila kwa uchache nawaomba mtosheke na hayo! 

MADHARA YA KUNYONYANA NA KULAMBANA "NYETI"


Wahenga washasema kila kizuri kina kasoro zake! Hili linajithibithisha baada ya mitindo hii ya map#nzi inavyoambatana na athari na madhara kedekede yakiwemo maradhi ya kuambukiza na magonjwa ya zinaa kwa wale wenye kuwa nayo! Duuh! Haya basi hii ni orodha ya magonjwa ya zinaa ambayo huambukizwa kupitia kulambana na kunyonyana Sirini:-
1. Gonorrhea
Hili huanzia katika koo la muambukizwaji, na mwanzoni huhisi kama ni ukavu wa kifuu au maradhi ya kawaida ya kifua, ila baadae hushuka na kuelekea katika viungo vya uzazi
2.  Syphilis
Huu huambukizwa kirahisi zaidi kupitia mdoma na hasa pale inapotekea mdomo ukutana na kiungo chenye athari hizo.
 3. Chlamydia 
Huu pia huambukizwa kupitia mdomo, ingawa waathirika wanaweza wasijijue maana huwa hauna dalali kwa muda mrefu 
4.hepatitis A
Huyu ni Virus anayepatikana katika kinyesi cha binadamu, huyu huwaingia wale wanaopenda kunyonyana na kulambana sehemu za haja kubwa
 5.Hepatitis B 
Huu huambukizwa kama HIV vile maana virusi vyake hukaa katika majimaji yanayotoka katika sehemu za siri na damu.
6. Hepatitis C 
Huu hupatikana pindi damu inapotoka maana vijidudu vyake vinakaa katika damu!

Pia kuna hatari za kupata HIV/AIDS kupitia staili hizi japo kwa uchache sana. Kwa sas nchi za watu wamebuni aina fulani ya C0nd0m ambazo huvaliwa katika mdomo hivyo kupunguza hatari ya kupata madhara tajwa hapo juu! Ila kwa nchi zetu bado sijasikia! Sasa utamu ndo huo na madhara ndo hayo, akili kumkichwa! Mungu azilinde ndoa zetu na Familia Zetu!

LUGHA ZA MWILI KATIKA MAP#ENZI


Pengine hii inawahusu walio katika ndoa na ambao bado!Ni zipi hasa lugha za mwili katika map#nzi?! Hapa nnazungumizia ishara, milio au sauti fulani ambazo ukisikia au kuona kutoka kwa mwenza wako inakupasa uchukua hatua stahili kulingana na mzingira husika. Kwa wale ambao tupo katika ndoa naimani unanafasi nzuri ya kumsoma mwenza wako na kuweza kugundua anahitaji au anamaanisha nini akiwa hivyo.
Kuna baadhi ya wanawake huwa hawawezi kuwaambia waume zao kwamba wanawahitaji kimap#nzi, badala yake huweza kujitegesha au kujirahisi mbele zao, kwani wanajua kuwafanyia hivyo kutaamsha hamu kwa waume zao na hatimaye kuipata starehe hiyo pamoja. Mume yakupasa uwe unausoma mchezo mapema kwani si wanawake wote wataweza sema au kujitegesha na ndio maana tunasisitiza isipite wiki bila kupeana na mwenza wako.


Pia wanawake nawashauri wawe "wachokozi" kidogo maana kuna wanaume huwa hawaanzi mashambulizi mpaka washambuliwe, kama hali ipo hivyo basi mwanamke inabidi ndo ume mpangaji mashambulizi ya awali.

Mwisho niwaambie Mke na Mume, kama inavyowapasa kujua sehemu za mihemuko baina yenu, inawapasa pia muelewe lugha za miili yenu. Miili inaongea bwanaa!!!

Diva Amchana Chagga Barbie Kiaina baada ya kuachana kwa ugomvi na Prezzo!!!






Mtangazaji matata wa Clouds Fm Anayejulikana kwa jina la Loveness Diva jana usiku katika kipindi chake Alifunguka kiana kuhusu wap#nzi wanapogombana na kuanza kuweka mitandaoni Private Message walizokuwa wanatumiana wakiwa ndani ya Map#nzi...

Aliwaasa wakina dada waache huo mchezo kwani ni kujiabisha mbele ya jamiiii ..kwani inafika mahali mpaka unasema jinsi maumbile ya mpenzi wako yalivyo...Hili linaonekana ni ndogo kiana kwa Mwanadada Starlisha a.ka Chagabibie Ambae Jana Ilikuwa Gumzo mitandaoni Baada ya Kuweka Conversation zake na Prezzo Aliyekuwa Mp#nzi wake na kufikia kumwita Kibamia ...

Je wewe unasemaje ...ni sahihi kuweka private msg za mp#nzi wako online

"Kunyonyana"


Hii "General Term" Kiswahili tumezoea kuita hivyo, ingawa wazungu wametofautilisha, naweza sema kuna aina tatu za kunyonyana, Aina ya kwanza ni kunyonyana ambapo hii ni kwa mwanamke kumnyonya Mwanaume, aina ya pili ni Kulambana ambapo mwanaume humlamba mkewe ukeni na aina ya tatu ni kulambana pia, ambapo mwanaume humlamba mkewe lakini humlamba njia ya haja kubwa.

Kulambana na kunyonyana kumekuwa kama fasheni katika ulimwengu wa leo, kwa wap#nzi na wanandoa! Vipi utamlamba mkeo au vipi utamnyonya mmeo ndo suala la msingi.
                      Kwa mwanamke kunyonya mumeo hakuhitaji ufundi sana, ni kiasi cha kufanya zoezi zima kama mtoto annalamba ice cream ile hali anaitunza isiwahi kuisha! utaweza fanya kama unapiga mswaki na "dudu" ya mumeo, au kuimeza bila kuing'ata na hatimaye kuilamba kwa chini huku ukielekea katika gololi zisizogongana, hapo napo ni kupalamba na kupatekenya tu ili mradi umehakikisha mumeo ni msafi, ili asije kukupa magonjwa a mba au fangasi!
Tatizo lipo kwa wanaume, tunafanyaje tukishanyonywa? nasi tuna walamba vipi wake zetu? Angalizo" Tusijaribu hata maramoja kuwapuliza wake zetu wakati tunawanyonya, maana kitendo cha hewa kuingia ndani ya uk# hupelekea maumivu na pia humsababishia maradhi ya ajabu"
                          Mume baada ya kuridhika na usafi wa mwenza wako utaanza kwa kumlamba juu juu Cl!tor!s au kiharage maana hapa ndio senta ya ny#ge, utalamba kuta za nje za uke taratibu huku ukitengeneza mazingira ya ulimi kuingia ndani. Ieleweke kuwa haya yote yanafanyika kwa utaratibu. Si lazima ulimi ukaingia ndani kwa mwanamke kwani kupitia kulambwa hupata stimu za kutosha juu juu tu! na wala usisubiri mpaka mkeo akojoe, maana anaweza asiwe na hamu ya kuendelea wakati wewe stimu zishakuwa high!

Kunyonyana na kulambana kwa wanandoa ni maandalizi tu kabla ya gemu, so tusilemae sana, na tusipuuzie sana maana kuna watu nje huko ni mafundi wakunyonya na kulamba, wasije tuibia wenza wetu kwa kitu kidogo tu!

G-SPOT NA RAHA ZAKE KATIKA KUFIKA KILELENI


Pengine mp#nzi msomaji umeshawahi kusikia kuhusu G spot, mimi nachangia kidogo katika kutanua yale uyajuayo kuhusu kiungo hichi muhimu kwa kumfikisha mwanamke kileleni. Kimaumbile kila Mwanamke ana G Spot ( Gräfenberg Spot ) kama uk# upo basi na G Spot ipo, suala la muhimu ni kwa mume kuijua ipoje, na vipi ataipata hiyo G spot na kumfurahisha mkewe. Kwa kupitia G Spot peke yake mwanamke anaweza akakojoa( akafika kileleni) bila kuingiliwa na mumewe. 
                       G Spot hupatikana ndani ya uk#, Ingiza kidole chako kiasi cha pingili mbili hivi za kidole cha kati kwa kuelekea juu, utakutana na ukuta/ngozi yenye asili ya ugumu tofauti na mandhari ya humo ( huweza fanana na ngozi ya juu katika fizi kama ukijitia kidole mdomoni), pamoja na ugumu huo kama uk# utakuwa tayari una maji maji au ute ute, hupafanya sehemu hiyo kuwa ya kuteleza na kuteleza huko humpa raha na faraja sana Mkeo/mwanamke kiasi ambacho huweza kojoa bila kuingiliwa na mumewe!

                    G Spot huweza chezewa kwa kutumia kidole kimoja cha kati, ikiwa mkeo atalala chali, nawe ukakiingiza huku ukielekea juu na kufanya kama una mkuna kuna na kuingiza na kutoa, ikumbukwe kwamba kuchezeana ndani ya uke kunafuata baada ya kulainishana na kuchezeana viungo vya juu, hivyo waume mchukue tahadhari kwa kutoanza kuingiza kidole na kuitafuta G Spot kabla ya kufuata taratibu tulizopeana mwanzoni.  
                         Pia G Spot huweza chezewa kwa kutumia vidole viwili, yaani cha kati na kidole cha pili, hivi huingizwa na kuchezeshwa juu, chini huku kidole gumba kikiwa kinachezea kiharage/cl!toris na vidole vilivyobaki vinakuwa vinazunguka katika ukuta wa nje wa uk#(kwa mkono mmoja tu)
               Na Staili nyingine ambayo G Spot huwa na Raha zaidi ni kwa mke kulala kifudifuti, makali0 yakawa juu, mume unaingiza vidole viwili huku ukifanya kama vidole vinatembea" hapa nakumbuka tangazo la vidole vinavyotembea la TTCL"
           Kwa machache niliyoyaeleza ukiyatekeleza  unaweza mkojoza mkeo hata bila kumuingilia, pia hata ukimuingilia nna uhakika kama umefata utaratibu tulioelekezana tangu Part 1, 2 na hapa Mkeo atatangulia kukojoa kabla yako, na wote mtafurahia RAHA TUPU