Umbea:Kidoa, Farid Uwezo wabambwa kimalovee


Video Queen mwenye mvuto wa aina yake, Asha Salumu ‘Kidoa’
KABANG! Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Asha Salum ‘Kidoa’ na msanii wa sinema za Kibongo, Farid Uwezo wamebambwa live wakiwa kimalovee kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar.

Wawili hao walikuwa wakilishana matunda aina ya strawberry, walipoulizwa kulikoni walidai ni marafi kitu hakuna kinachoendelea kati yao.
fariduwezoMsanii wa sinema za Kibongo, Farid Uwezo.


x

;

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »