Takukuru Imewapandisha Kortini Wabunge watatu wanaotuhumiwa kwa rushwa


 
Pichani kutoka kushoto ni Mbunge wa Mwibala,Mh.Kangi Lugola,Mbunge wa Mvomero Mh.Sadiq Murad pamoja na Mbunge wa jimbo la Lupa Mh.Victor Mwambalaswa
Wabunge watatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wamefikishwa mahakama ya Kisutu hivi punde kwa tuhuma za rushwa.

Wabunge hao ambao ni wajumbe wa Kamati za kudumu za Bunge wanatuhumiwa kushawishi na kupokea rushwa toka kwa Taasisi za Kiserikali ili kuweza kusaidia taarifa zao ambazo zinamapungufu zipitishwe bila kupingwa 


x

;

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »