G-SPOT NA RAHA ZAKE KATIKA KUFIKA KILELENI



Pengine mp#nzi msomaji umeshawahi kusikia kuhusu G spot, mimi nachangia kidogo katika kutanua yale uyajuayo kuhusu kiungo hichi muhimu kwa kumfikisha mwanamke kileleni. Kimaumbile kila Mwanamke ana G Spot ( Gräfenberg Spot ) kama uk# upo basi na G Spot ipo, suala la muhimu ni kwa mume kuijua ipoje, na vipi ataipata hiyo G spot na kumfurahisha mkewe. Kwa kupitia G Spot peke yake mwanamke anaweza akakojoa( akafika kileleni) bila kuingiliwa na mumewe. 
                       G Spot hupatikana ndani ya uk#, Ingiza kidole chako kiasi cha pingili mbili hivi za kidole cha kati kwa kuelekea juu, utakutana na ukuta/ngozi yenye asili ya ugumu tofauti na mandhari ya humo ( huweza fanana na ngozi ya juu katika fizi kama ukijitia kidole mdomoni), pamoja na ugumu huo kama uk# utakuwa tayari una maji maji au ute ute, hupafanya sehemu hiyo kuwa ya kuteleza na kuteleza huko humpa raha na faraja sana Mkeo/mwanamke kiasi ambacho huweza kojoa bila kuingiliwa na mumewe!

                    G Spot huweza chezewa kwa kutumia kidole kimoja cha kati, ikiwa mkeo atalala chali, nawe ukakiingiza huku ukielekea juu na kufanya kama una mkuna kuna na kuingiza na kutoa, ikumbukwe kwamba kuchezeana ndani ya uke kunafuata baada ya kulainishana na kuchezeana viungo vya juu, hivyo waume mchukue tahadhari kwa kutoanza kuingiza kidole na kuitafuta G Spot kabla ya kufuata taratibu tulizopeana mwanzoni.  
                         Pia G Spot huweza chezewa kwa kutumia vidole viwili, yaani cha kati na kidole cha pili, hivi huingizwa na kuchezeshwa juu, chini huku kidole gumba kikiwa kinachezea kiharage/cl!toris na vidole vilivyobaki vinakuwa vinazunguka katika ukuta wa nje wa uk#(kwa mkono mmoja tu)
               Na Staili nyingine ambayo G Spot huwa na Raha zaidi ni kwa mke kulala kifudifuti, makali0 yakawa juu, mume unaingiza vidole viwili huku ukifanya kama vidole vinatembea" hapa nakumbuka tangazo la vidole vinavyotembea la TTCL"
           Kwa machache niliyoyaeleza ukiyatekeleza  unaweza mkojoza mkeo hata bila kumuingilia, pia hata ukimuingilia nna uhakika kama umefata utaratibu tulioelekezana tangu Part 1, 2 na hapa Mkeo atatangulia kukojoa kabla yako, na wote mtafurahia RAHA TUPU


x

;

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »