'Nimekufa nimeoza kwa baba mwenye nyumba wangu,Nifanyeje?


Ndugu  zangu, naombeni  nisieleweke  vibaya.. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26.Nina mwaka wa kwanza tangu nianze kujitegemea mara baada ya kumaliza shule. Nimepanga kwenye nyumba moja iliyoko  maeneo ya  Mbezi.

Tatizo langu ni kwamba nimetokea kumpenda  sana  baba mwenye nyumba wangu ambaye ana watoto na familia. Kila nikijibaraguza siwezi. 

Nimefanya  kila  mbinu  kuzificha  hisia  zangu  lakini  nimeshindwa.Kimsingi simpendi mwanamume mwingine zaidi yake.....
Nisaidie kuniepusha na mtihani huu mgumu.Asanteni


x

;

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »