Rais Magufuli kaamua kutoa ofa ya vinywaji kwa watu wake Airport Mwanza…(+Pichaz)


Leo March 29 2016, kwa mara ya kwanza Rais Magufuli ametua kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza na kukutana na viongozi wa mkoa Mwanza pamoja wananchi wake waliokuwa Airport ya Mwanza, Kingine alichokifanya ni kwenda kwenye Mgahawa wa kawaida kabisa uliopo pembeni ya Airport nakutoa ofa ya vinywaji kwa wananchi wake wajumuike pamoja kwenye hiyo moments
 Rais Magufuli akitoka kuelea kwenye Mgahawa
Rais Magufuli akiongea na Meya wa Ilemela Renatus Mulunga na Meya wa Jiji James Bwire

Watu wakapita na ofa ya Rais Magufuli.
 Wanahabari nao wakapita kwenye ofa
 Rais Magufuli amepita Mwanza akielekea Chato nyumabani kwao kwa mapumziko ya siku tano na baada ya hapo ataanza ziara yake ya kikazi mkoa wa Mwanza.


x

;

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »